Kwa niliyoyaona wodi ya wazazi, simtii mimba tena mke wangu

Sheria za kitabibu (hypocrates oath) na sheria za uuguzi (kwa mujibu wa frolence nightingale) ,
Mtumishi yeyote wa afya haruhusiwi kutoa siri za wagonjwa(yale ayaonayo n kuyasikia wakati wa kutoa huduma au matibabu ya mgonjwa),
Mume wa mama mjamzito haruhusiwi kuingia katika chumba cha kujifungulia (delivery) room,

Nimesikitika sana kuona unakosa maadii kijana hapa jukwaani hili ni kosa kisheria pia ni uzalilishaji wa wanawake na kada nzima ya afya,

MODS FUTENI HUU UZI UNAWEZA KULETA MADHARA MAKIBWA.
Acha unafiki mzee baba...
 
Back
Top Bottom