Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
Nawapenda Jf members wote lakini inafika hatua mnanikwaza,
Sidhani kama nimewahi kukwaruzana na mtu Humu Ndani,
Naomba kwa anayejua nilimkwaza aje ajitokeze na aseme, Ili turekebishe madhaifu yangu,mimi sio mtu mkamilifu na huwa sipendi kuchezewa rough na mtu...
Mara ya kwanza nilishakutana na mtu akanichezea rough kwa ID mpya nikacoolo na kumpiga ignore list,Mimi sitaki kujaza watu huko,
Sahizi naona kuna Mapya tena,
Please please anayejua nilimkwaza kwa namna moja au nyingine aje aniambie tu...Sijafunzwa ugomvi kwetu mimi.
Sidhani kama nimewahi kukwaruzana na mtu Humu Ndani,
Naomba kwa anayejua nilimkwaza aje ajitokeze na aseme, Ili turekebishe madhaifu yangu,mimi sio mtu mkamilifu na huwa sipendi kuchezewa rough na mtu...
Mara ya kwanza nilishakutana na mtu akanichezea rough kwa ID mpya nikacoolo na kumpiga ignore list,Mimi sitaki kujaza watu huko,
Sahizi naona kuna Mapya tena,
Please please anayejua nilimkwaza kwa namna moja au nyingine aje aniambie tu...Sijafunzwa ugomvi kwetu mimi.