ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,532
- 44,644
Watu Wengi wamechoka Sana baada ya kumaliza Chuo na kukosa ajira na Wengi hawana ujuzi wowote wanajuta kwanini wasingepitia hata veta toka siku nyingi.
Pia wako vijana waliomaliza form four wamefeli Serikali imeanza vizuri Sana kuhakikisha wanapewa ujuzi.
Serikali tunaomba Sana mbadilishe mfumo huu wa elimu.baadhi ya secondary zinadilishwe ziwe vyuo vya Ufundi stadi.kila kata kiwepo kituo Cha angalau karakana moja aidha mashine kubwa au taasisi za Serikali zinazodili na uzalishaji kwa mashine itasaidia watoto wa mitaa husika kujifunza Ufundi Zaidi.
Tunapoteza watu wazuri kwa sababu mifumo haijawekwa sawa sioni faida ya form five na form six kwa karne Kama ya Sasa.
Pia wako vijana waliomaliza form four wamefeli Serikali imeanza vizuri Sana kuhakikisha wanapewa ujuzi.
Serikali tunaomba Sana mbadilishe mfumo huu wa elimu.baadhi ya secondary zinadilishwe ziwe vyuo vya Ufundi stadi.kila kata kiwepo kituo Cha angalau karakana moja aidha mashine kubwa au taasisi za Serikali zinazodili na uzalishaji kwa mashine itasaidia watoto wa mitaa husika kujifunza Ufundi Zaidi.
Tunapoteza watu wazuri kwa sababu mifumo haijawekwa sawa sioni faida ya form five na form six kwa karne Kama ya Sasa.