atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,292
- 9,390
Huyo ni empty head memory,halijuagi kitu zaid ya kupest maneno yake hapaComment zako za kishoger hauachi tu wewe biriani
Huyo ni empty head memory,halijuagi kitu zaid ya kupest maneno yake hapaComment zako za kishoger hauachi tu wewe biriani
Hii ni awamu ya tano katika kipindi chake cha pili cha miaka Kumi !!. Awamu ya sita itaanza baada ya awamu hii ya tano kufikia ukomo wake... October 2025. Vingenevyo swali lako lingemtoa kwenye reli.Ningeuliza hivi:
Tangu awamu ya sita imeingia madarakani chini ya uongozi wako, tumeshuhudia ukisisitiza juu ya umuhimu wa kuchukua hatua juu ya ugonjwa wa COVID, na hata hapa leo umetuambia juu ya hilo na uwepo wa wagonjwa wa COVID nchini na mipango ya serikali kuleta chanjo. Pia, umekuwa ukisisitiza Watanzania kuchukua hatua za kujilinda ikiwemo kupunguza misongamano isiyo ya lazima. Lakini, hivi karibuni tumeshuhudia ukimpigia simu mwanamuziki aliekua anatumbuiza usiku kwenye tamasha la muziki, na ukisema unatamani ungekwepo pale huku ukipongeza tamasha hilo. Je, kwa kitendo hicho huoni kuwa unachanganya wananchi kama kiongozi namba moja wa Serikali?
Au unadhani kuwa tamasha lile na matamasha ya aina ile ni moja ya misongamano muhimu isiyokwepeka?Huoni kama kwa hatua ile ume-endorse muendelezo wa mikusanyiko ya muziki katika kipindi hiki ambacho unatusisitiza tuepuke misongamano isiyo ya lazima?
Kipi ni kipi?
Halafu upo uwanja wa ugenini😂😂😂 wamuulize msigwa kule iringa mbele ya hayati alijiona hatoshi😂😂😂😂Tusiwalaumu huenda walipewa script ya kuuliza maswali,ole wako uulize nje ya script
Nafikiri bado kuna kitu hakipo sawa, wanatesti mitambo, kuna uvumi unasema msitu ni mpya komba ni wale wale.....Ukiona anayehojiwa au Kuulizwa Maswali anayajibu kwa Furaha, hatetemeki, anatingisha Miguu yake kama yupo Sebuleni Kwake na Familia yake, hatokwi na Jasho, hapandwi na Hasira mpaka anadiriki kuomba maswali ya Nyongeza huku akiishia Kuwakaribisha Chakula ili mvimbiwe vizuri kwa Uroho wenu jua waliopo ( wanaomuhoji ) ni bure kabisa na anayehojiwa nae ameshawadharau halafu anawamudu pia hawamtishi.
Nimesikitika sana tu kwa nilichokiona.
Huyo Balile anajulikana ni mlamba mata.ko maarufu, hakuna anachosimamia zaidi ya maslahi yake binafsi.Mkuu mbona hili linajukana kabisa!! Halafu mkutano ulivyoandaliwa siyo kwa kitaalam kabisa. Mkutano kama huu unakuwa na follow up questions, na rais angejibu eg maswali matatu, matatu. Hili la kuuliza maswali yote kwa pamoja halafu rais ndiyo ajibu kuna kitu kinakwepwa. Kuhusu hili la ''waandishi'' wa Tanzania hilo wala lisikusumbue. Wenyewe walikwenda kulilia maslahi yao na kusifu ili wafikiriwe kwenye safari za nje. Kama huyo sijui Balile, huyo jamaa anachojua ni tumbo lake tu.
You are very brave & wise.Ningeuliza hivi:
Tangu awamu ya sita imeingia madarakani chini ya uongozi wako, tumeshuhudia ukisisitiza juu ya umuhimu wa kuchukua hatua juu ya ugonjwa wa COVID, na hata hapa leo umetuambia juu ya hilo na uwepo wa wagonjwa wa COVID nchini na mipango ya serikali kuleta chanjo. Pia, umekuwa ukisisitiza Watanzania kuchukua hatua za kujilinda ikiwemo kupunguza misongamano isiyo ya lazima. Lakini, hivi karibuni tumeshuhudia ukimpigia simu mwanamuziki aliekua anatumbuiza usiku kwenye tamasha la muziki, na ukisema unatamani ungekwepo pale huku ukipongeza tamasha hilo. Je, kwa kitendo hicho huoni kuwa unachanganya wananchi kama kiongozi namba moja wa Serikali?
Au unadhani kuwa tamasha lile na matamasha ya aina ile ni moja ya misongamano muhimu isiyokwepeka?Huoni kama kwa hatua ile ume-endorse muendelezo wa mikusanyiko ya muziki katika kipindi hiki ambacho unatusisitiza tuepuke misongamano isiyo ya lazima?
Kipi ni kipi?
Angalia hata vyombo vya habari vyenyewe vilivyo dhofu mbaya! Hao walijitahidi kuuliza maswali yenye afadhali si unaona na vyombo vyao! "Vyombo vinaamua ubora wa watenda kazi.Kusema ukweli waandishi wawili au watatu tu ndio wameuliza maswali ya msingi kidogo, wengine wameuliza maswali ya kitoto sana hasa wale wanaotoka TBC na yule sijui wa redio tumaini. Yule dada wa redio ujerumani na mwingine aliyeuliza katiba mpya na mikutano ya kisiasa kuruhusiwa at least wameuliza maswali ya maana. Tanzania hatuna waandishi wa habari, kichwani weupe sana.