Ina maana hukusikia alivyoliongelea hilo ?Nchi imejipangaje kuhakikisha uviko hauenei kwa kasi kutokana na mipaka ya nchi kufunguliwa huku tukishuhudia ueneaji wa virusi hivyo ni wa haraka
Mkuu mbona hili linajukana kabisa!! Halafu mkutano ulivyoandaliwa siyo kwa kitaalam kabisa. Mkutano kama huu unakuwa na follow up questions, na rais angejibu eg maswali matatu, matatu. Hili la kuuliza maswali yote kwa pamoja halafu rais ndiyo ajibu kuna kitu kinakwepwa. Kuhusu hili la ''waandishi'' wa Tanzania hilo wala lisikusumbue. Wenyewe walikwenda kulilia maslahi yao na kusifu ili wafikiriwe kwenye safari za nje. Kama huyo sijui Balile, huyo jamaa anachojua ni tumbo lake tu.Ukiona anayehojiwa au Kuulizwa Maswali anayajibu kwa Furaha, hatetemeki, anatingisha Miguu yake kama yupo Sebuleni Kwake na Familia yake, hatokwi na Jasho, hapandwi na Hasira mpaka anadiriki kuomba maswali ya Nyongeza huku akiishia Kuwakaribisha Chakula ili mvimbiwe vizuri kwa Uroho wenu jua waliopo ( wanaomuhoji ) ni bure kabisa na anayehojiwa nae ameshawadharau halafu anawamudu pia hawamtishi.
Nimesikitika sana tu kwa nilichokiona.
Kimsingi kulikuwa na maswali mengi magumu ambayo yangeonyesha muelekeo na uwezo wake lakini hawa ''waandishi'' wetu nadhani unawajua.Shikamoo Mkuu. Hili ndiyo Swali haswa.
Kukasirika ukiulizwa swali ndio uandishi mkuu!?Rais Samia asema nyungu ruksa.
Kigwangala chali tena
Wote wanavizia uteuzi, njaa kitu mbayaUkiona anayehojiwa au Kuulizwa Maswali anayajibu kwa Furaha, hatetemeki, anatingisha Miguu yake kama yupo Sebuleni Kwake na Familia yake, hatokwi na Jasho, hapandwi na Hasira mpaka anadiriki kuomba maswali ya Nyongeza huku akiishia Kuwakaribisha Chakula ili mvimbiwe vizuri kwa Uroho wenu jua waliopo ( wanaomuhoji ) ni bure kabisa na anayehojiwa nae ameshawadharau halafu anawamudu pia hawamtishi.
Nimesikitika sana tu kwa nilichokiona.
Huyo kweli hamna kituEti Mtu na Akili Zake Anamuuliza RAIS Kwanini Anateua Sana Vijana Wakati Kuna Wazee Wengi Walionyosha Mikono Huku Wakisema CCM OYEEEEE!!
Waliogundulika kubambikizia watanzania wenzetu kesi,watachukuliwa hatua gani?
Mfano,Mh Rais Awamu ya 5 ambayo wewe ulikuwa Rais mwenza mlituambia sisi Wananchi kwamba mradi wa Bagamoyo ni wa kilaghai na kama Nchi hatuwezi kunufaika nao kipi kimetokea ghafla mradi huo wa maana tena??Wewe ulitaka aulizwe swali gani ? Tuanzie hapo kwanza !
Ningeuliza hivi:
watu wanalinda maslahi, huwezi ona Hawa watu ikipita leo na kesho wataanza kujadili mambo mengineyo kadha wa kadha wakati leo wamepata nafasi Ila wakajiona Kama wapo primary ndo wanajifunza jinsi ya kuuliza maswaliUkiona anayehojiwa au Kuulizwa Maswali anayajibu kwa Furaha, hatetemeki, anatingisha Miguu yake kama yupo Sebuleni Kwake na Familia yake, hatokwi na Jasho, hapandwi na Hasira mpaka anadiriki kuomba maswali ya Nyongeza huku akiishia Kuwakaribisha Chakula ili mvimbiwe vizuri kwa Uroho wenu jua waliopo ( wanaomuhoji ) ni bure kabisa na anayehojiwa nae ameshawadharau halafu anawamudu pia hawamtishi.
Nimesikitika sana tu kwa nilichokiona.
Imbecile.UNGEKUWA WEWE UNGEULIZA NINI CRITICALLY .....TUSAIDIE....naona huna hoja sema mimi ningeuliza 1,2,3,4...etc
Swali la pili ambalo ningeuliza:Ningeuliza hivi:
Tangu awamu ya sita imeingia madarakani chini ya uongozi wako, tumeshuhudia ukisisitiza juu ya umuhimu wa kuchukua hatua juu ya ugonjwa wa COVID, na hata hapa leo umetuambia juu ya hilo na uwepo wa wagonjwa wa COVID nchini na mipango ya serikali kuleta chanjo. Pia, umekuwa ukisisitiza Watanzania kuchukua hatua za kujilinda ikiwemo kupunguza misongamano isiyo ya lazima. Lakini, hivi karibuni tumeshuhudia ukimpigia simu mwanamuziki aliekua anatumbuiza usiku kwenye tamasha la muziki, na ukisema unatamani ungekwepo pale huku ukipongeza tamasha hilo. Je, kwa kitendo hichi huoni kuwa unachanganya wananchi kama kiongozi namba moja wa Serikali?
Au unadhani kuwa tamasha lile na matamasha ya aina ile ni moja ya misongamano muhimu isiyokwepeka?Huoni kama kwa hatua ile ume-endorse muendelezo wa mikusanyiko ya muziki katika kipindi hiki ambacho unatusisitiza tuepuke misongamano isiyo ya lazima?
Kipi ni kipi?
Comment zako za kishoger hauachi tu wewe birianiRais Samia asema nyungu ruksa.
Kigwangala chali tena