Kwa nilichokiona Mwanza, kweli Dar kuna upungufu mkubwa wa wanawake wenye chura!

Karibu mwanza rocky city native,, nenda pale makoroboi uone kuku wa kienyeji wanavokatiza,,,


Ila mkoa wa Arusha ndo mkoa ambao hawashoboki na chura,, watu bize kishenzi si vijiweni wala town,
 
Lazima iwe hvyo apo mwanza mjin wahaya na wanyarwanda ni zaidi ya 40%
Wahaya sio jamii ya shape nzuri, ni miguu zaidi na hata wanyarwanda ni wageni tu na sio wa maumbile mazuri. Wasukuma ndo kila kitu. Labda huzijui hizo jamii vizuri
 
Wahaya sio jamii ya shape nzuri, ni miguu zaidi na hata wanyarwanda ni wageni tu na sio wa maumbile mazuri. Wasukuma ndo kila kitu. Labda huzijui hizo jamii vizuri
Ahaa wap hujakutana na wasukuma waliokomaa wale waendeshao baiskeli.wahaya na wanyarwanda wanamishepu na wako romantic
 
Ahaa wap hujakutana na wasukuma waliokomaa wale waendeshao baiskeli.wahaya na wanyarwanda wanamishepu na wako romantic
Tafuta mixer ya kinyankole na kirwanda mtoto anashape akikaa kwenye kigoda ana kificha
 
Nilifanyia sendoff mwanza.. ..!nakiri kwa mara ya kwanza badala ya kuco centrate na mawaidha ya wananzengo nikawa natazama wamama walivyojazia ..alafu wanajimwaga balaaa...wamevaa kawaida lkink hawajifichi...mie nikiendaga upande wa mama huwa naomba niwashike makalio nijihakikishie km ni kweli..Mwanza salute jaman...
Hahaaa!
 
Niko Mwanza mwaka wa tano huu ila sio to that extent bhana chumvi nyingi kuliko uhalisia..wenye chura wapo kiasi chake kama ilivyo sehem yeyote ile ya Tanzania labda uwe umechanganya unene na chura..sio kila mnene anayo chura..wanene wengine ni shapeless tu sababu ya kula dagaa samaki udaga(mchanganyiko wa dona na muhogo)nk hufanya wanawake kuwa giants..ova
Sio kwwl mkuu.nenda iringa then rudi mwanza ...mwanza kuna mifurushi ya kufa mtu
 
Mkuu nakuunga mkono aisee , nipo hapa mwanza pia ila aah hadi nahis kuchanganyikiwa aibu imenitoka nimekua nafuata fuata tu wamama wenye chura kama mbwa alietelekezwa
 
Back
Top Bottom