LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,124
- 11,114
Jana nilitembelewa na dada yangu, kwa kuwa ni mpenzi wa vinywaji ikabidi tutoke nyumbani twende sehemu yenye hiyo huduma, tukafika kwenye mgahawa moja tulivu uliopo maeneo ya Tabata.
Kufika pale ilikuwa ni mida ya saa saba mchana,Mhudumu akasema kuwa kutokana na mda kutokuwa sahihi hawauzi vilevi kwa mda huo au kama vipi watuuzie tuondoke navyo au watutafutie sehem kwa nyuma ambayo haipo wazi ndio watuhudumie.
Tukakubali tupate sehem ili tupate kinywaji tusije sumbuliwa na maaskari, tukaletewa vinywaji tukaendelea na maongezi, lakini wakati tunajadili mawili matatu zikaskika kelele za chini chini za binti akilia kwa uchungu maana ile ilikuwa sio miguno ya raha ni ya maumivu.
Kuangalia vizuri nikagundua pale tulikuwa tumekaa nyuma sehem yenye madirisha ya vyumba vya Lodge, maana pale wana lodge pia so nikaelewa tu pae kuna binti kakutana na balaa huenda kakunjwa huko anauchezea.
Cha kwanza nilijiskia aibu cz nlikuwa na dada yangu then ni mtu mzima, so faster nikaenda kwa mhudumu kumwomba atuhamishe pale sio sehem nzuri ukizingatia nipo na mtu nnaemuheshim, so tukarudi kule upande wa mbele tukikamatwa tukamatwe tu.
Ilipofika mida ya saa kumi kwenye mlango wa kutokea upande wa Lodge, atoka mzee mmoja mweusi hivi kanyoa upara amevaa miwani nyeusi tinted, kwa kumuangalia yule mzee ni mtu anaechezea miaka 55-60 si chini ya hapo, na nyuma yake alikuwa ni binti chotara hivi kavaa baibui nyeusi, Binti mzuri haswaa kwa kumuangalia yule alikuwa ni 22-25 si zaidi ya hapo.
Na kilichonishangaza ni macho ya yule binti yalikuwa yamevimba yani kama mtu alietoka kulia macho yalivyo, alikuwa hana raha , katoka anaangalia chini tu nahisi ni aibu na anaonekana alikuwa na maumivu huenda rohoni or mwilini.
Wakati wa kuondoka ikabidi nimuite mhudumu aliyetuamisha ile sehem nikamuuliza pembeni, inamaana yule mzee ndio alikuwa na yule binti humo ndani na huyo binti ndio alikuwa anapiga makelele namna ile?, yule mhudumu akaniambia ndio yeye ndio kwani cha kushangaza kipi mbona wazee wengi tu wanaleta vitu vyao hapa labda wewe umeona leo, akaishia kucheka.
Nilibakiki mdomo wazi nikajiuliza vijana tunakwama wapi hadi tunachapiwa na hawa wazee na yule mzee anaonekana alimshindilia kweli kweli maana yule binti ile hali ilikuwa sio ya kawaida, na usikute yule binti ana boyfriend wake kijana tu Handsome, lakini huenda ni pesa au hitaji la kitu fulani limempeleka mikononi mwa yule mzee.
Jamani niishie hapo ila vijana tutafute pesa , mambo ya kunyanyua vyuma na kujipodoa alafu hela hatuna tutaishiwa kuchapiwa na hawa wazee nawaambieni.
Kufika pale ilikuwa ni mida ya saa saba mchana,Mhudumu akasema kuwa kutokana na mda kutokuwa sahihi hawauzi vilevi kwa mda huo au kama vipi watuuzie tuondoke navyo au watutafutie sehem kwa nyuma ambayo haipo wazi ndio watuhudumie.
Tukakubali tupate sehem ili tupate kinywaji tusije sumbuliwa na maaskari, tukaletewa vinywaji tukaendelea na maongezi, lakini wakati tunajadili mawili matatu zikaskika kelele za chini chini za binti akilia kwa uchungu maana ile ilikuwa sio miguno ya raha ni ya maumivu.
Kuangalia vizuri nikagundua pale tulikuwa tumekaa nyuma sehem yenye madirisha ya vyumba vya Lodge, maana pale wana lodge pia so nikaelewa tu pae kuna binti kakutana na balaa huenda kakunjwa huko anauchezea.
Cha kwanza nilijiskia aibu cz nlikuwa na dada yangu then ni mtu mzima, so faster nikaenda kwa mhudumu kumwomba atuhamishe pale sio sehem nzuri ukizingatia nipo na mtu nnaemuheshim, so tukarudi kule upande wa mbele tukikamatwa tukamatwe tu.
Ilipofika mida ya saa kumi kwenye mlango wa kutokea upande wa Lodge, atoka mzee mmoja mweusi hivi kanyoa upara amevaa miwani nyeusi tinted, kwa kumuangalia yule mzee ni mtu anaechezea miaka 55-60 si chini ya hapo, na nyuma yake alikuwa ni binti chotara hivi kavaa baibui nyeusi, Binti mzuri haswaa kwa kumuangalia yule alikuwa ni 22-25 si zaidi ya hapo.
Na kilichonishangaza ni macho ya yule binti yalikuwa yamevimba yani kama mtu alietoka kulia macho yalivyo, alikuwa hana raha , katoka anaangalia chini tu nahisi ni aibu na anaonekana alikuwa na maumivu huenda rohoni or mwilini.
Wakati wa kuondoka ikabidi nimuite mhudumu aliyetuamisha ile sehem nikamuuliza pembeni, inamaana yule mzee ndio alikuwa na yule binti humo ndani na huyo binti ndio alikuwa anapiga makelele namna ile?, yule mhudumu akaniambia ndio yeye ndio kwani cha kushangaza kipi mbona wazee wengi tu wanaleta vitu vyao hapa labda wewe umeona leo, akaishia kucheka.
Nilibakiki mdomo wazi nikajiuliza vijana tunakwama wapi hadi tunachapiwa na hawa wazee na yule mzee anaonekana alimshindilia kweli kweli maana yule binti ile hali ilikuwa sio ya kawaida, na usikute yule binti ana boyfriend wake kijana tu Handsome, lakini huenda ni pesa au hitaji la kitu fulani limempeleka mikononi mwa yule mzee.
Jamani niishie hapo ila vijana tutafute pesa , mambo ya kunyanyua vyuma na kujipodoa alafu hela hatuna tutaishiwa kuchapiwa na hawa wazee nawaambieni.