Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
- Thread starter
- #21
Hapo ndipo kila mtu anahitaji jibu makini, lakini wakujibu wapo bize na dili kharamuMie binafsi nashindwa kuelewa ,
Ikiwa nyerere alijenga viwanda enzi zile za umasikini
Inakuwaje vinakufa leo wakati wasomi ni wengi na tuna utajiri mkubwa?