Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Lushoto Kuzuri jamani
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Saturday, October 09, 2010
nikitabaruku katika mashamba ya mwenyeji huku Lushoto
benki pekee iliopo katika mji wa Lushoto
hii ndio stendi kuu ya mabasi Lushoto
abiria wakiwa katika daladala zinazopiga ruti za kuingia vijijini,kutokea Lushoto Mjini.
kina mama wafanyao biashara za matunda wakiwa katika sehemu yao ya kazi.
huu ni uchakuchuaji dhahiri
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Saturday, October 09, 2010
hii kitu nimekutana nayo jana nilipokuwa safarini kuelekea Lushoto Mkoani Tanga,yaani basi hili linakula vichwa kama daladala za jijji la Dar.huwezi amini hawa abiria walisimama kutokea Chalinze mpaka Lushoto na wazee wa feva walikuwa wakisikamisha basi hilo na kukagua na kushuka kwa kusema "haya nawatakieni safari njema" hivi hii imekaa vyema kweli wadau.
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Saturday, October 09, 2010
nikitabaruku katika mashamba ya mwenyeji huku Lushoto
benki pekee iliopo katika mji wa Lushoto
hii ndio stendi kuu ya mabasi Lushoto
abiria wakiwa katika daladala zinazopiga ruti za kuingia vijijini,kutokea Lushoto Mjini.
kina mama wafanyao biashara za matunda wakiwa katika sehemu yao ya kazi.
huu ni uchakuchuaji dhahiri
Muandishi: Othman Michuzi | Tarehe: Saturday, October 09, 2010
hii kitu nimekutana nayo jana nilipokuwa safarini kuelekea Lushoto Mkoani Tanga,yaani basi hili linakula vichwa kama daladala za jijji la Dar.huwezi amini hawa abiria walisimama kutokea Chalinze mpaka Lushoto na wazee wa feva walikuwa wakisikamisha basi hilo na kukagua na kushuka kwa kusema "haya nawatakieni safari njema" hivi hii imekaa vyema kweli wadau.