mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Bwana kuna huu ujinga wa hawa jamaa wanaochezaga na jeneza mabegani si mnawajua?
Ebwana leo nimewaota laivu na kale kamziki kao walikowekewa halafu wananitazama huku wamenuna sana kama kawaida yao...
Mara paap nikaamka huku roho ikinienda mbio.....
Nyie jamaa kuweni makini mie sio mtu wa GHANA
Ebwana leo nimewaota laivu na kale kamziki kao walikowekewa halafu wananitazama huku wamenuna sana kama kawaida yao...
Mara paap nikaamka huku roho ikinienda mbio.....
Nyie jamaa kuweni makini mie sio mtu wa GHANA