jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Ni muhimu kumuenzi Hayati Dr John Pombe Magufuli kwa kuharakisha mchakato na utekelezaji wa kuanzisha kiwanda cha chanjo.
Third wave ya covid 19 ipo around ni vyema wataalamu wetu waje na mpango wa haraka/ dharura wa kuanzisha kiwanda cha chanjo hasa tukianza na chanjo ya covid 19.
Kwa hisani ya mtu wa Tanzania.
Third wave ya covid 19 ipo around ni vyema wataalamu wetu waje na mpango wa haraka/ dharura wa kuanzisha kiwanda cha chanjo hasa tukianza na chanjo ya covid 19.
Kwa hisani ya mtu wa Tanzania.