johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,745
- 139,516
Kwa namna vijana wa mwendazake walikatiziwa ulaji ghafla kufuatia kifo cha mpendwa wetu, ni dhahiri hawa wa sasa hawatarudia makosa.
Ukiwaangalia akina Polepole ni kama vile wanataka kupata uchizi kwa namna walivyonyang'anywa tonge mdomoni.
Cheo ni dhamana kwa kweli.
Akina Halima James Mdee wanapeta tu!
Ukiwaangalia akina Polepole ni kama vile wanataka kupata uchizi kwa namna walivyonyang'anywa tonge mdomoni.
Cheo ni dhamana kwa kweli.
Akina Halima James Mdee wanapeta tu!