johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,667
Awali ya yote nimshukuru mbunge wa Mbeya ambaye pia ni naibu Spika kwa kutufumbua macho kwamba kuna maeneo fulani ilani inasema tofauti na uhalisia unaosemwa na serikali.
Natoa rai kwa wananchi tulioichagua CCM kwa kishindo kikuu tuipitie kwa makini Ilani ya uchaguzi hasa katika maeneo yanayotuhusu ili kujiridhisha na utekelezaji wake.
Kazi Iendelee!
Natoa rai kwa wananchi tulioichagua CCM kwa kishindo kikuu tuipitie kwa makini Ilani ya uchaguzi hasa katika maeneo yanayotuhusu ili kujiridhisha na utekelezaji wake.
Kazi Iendelee!