Uchaguzi 2020 Kwa namna Arusha ilivyotaabika, kwa sasa tunahitaji Monoban awe mbunge wa Arusha

Mleta mada Ni poyoyo wa siasa,kwa taarifa Kama ulikuwa hujui,Ni kipindi Cha Lema ndo..
Barabara za lami zimeongezeka kwa Kasi ya ajabu Arusha.

Tatizo la maji kuwa historia Arusha.

Elimu ya uraia na kujitambua imewafkia watu wengi Arusha.

Mapato au makusanyo kuongezeka zaidi ya Mara 3 kulinganisha pindi CCM ikiwa imeshika halimashauri me hapa Ni wazi CCM ilikuwa inafisadi halimashauri.

Kama unakumbuka kabla ya jiwe kunyang'anya makusanyo Lema na halimashauri yake ya Arusha ilianza kujenga shule kwa kiwango Cha orofa mfano Sombetini,baada ya jiwe Kuona mipango mizuri ya Lema na halimashauri yao akawanyang'anya makusanyo,na huu ulikuwa ni uhuni ili wasifanye maendeleo kwenye majimbo yao.
CCM hamna kitu kazi kuiba tu
Binafsi sikulamu kwa uelewa wako,kwa sababu hata hapa Arusha..watu waliompa Lema kura na wapigadebe wengi alionao ni watu wahuni,wenye upeo mdogo sana,watu wasiokuwa na uwezo wa kung'amua mambo,hawa ndio wafuasi wa huyu mtu hapa mjini ila watu wenye uwezo mkubwa wa akili na wasomi,wanamuona Lema kama mtu duni kiuwezo katika maswala ya uongozi na mwenye kutumia nafasi hiyo kwa maslahi binafsi.

Nirejee kwenye mada husika,ujenzi wa barabara za ndani ya jiji la Arusha,ni project ya world bank..ambayo ilianza kipindi cha Kikwete na sio Lema ameanzisha viguvugu za ujenzi wa barabara hizi..ila kwasababu anajua wafuasi wake wanaupeo wa chini basi anatumia hili kama daraja lakupatia kura.

Shule ni kitu muhimu sana.
 
Haya Dada mpendwa, hongera kwa kumalizia shule pasi na kuelimika! Laiti ungeelimika usingekuwa unawapigia wengine chapuo la kuchafuliwa Bali ungejinadi mwenyewe! Tukianza kupimana habari za shule mbona tutakimbiana humu!
Hiyo shule yako mpuuzi wewe no ya kiwango gani zaidi ya zile za kata za kwenda na jembe, fagio na kudumu Cha maji? Kalambe miguu ya wanaume ili Ile vinginevyo utakufa njaa! Mataga mengine hayana tofauti na takataka!
Naona kadri ninavyokujibu nakupa credit humu ndani..
Akili zangu sio za shindana na mtu mwenye akili duni kama wewe,unayetuletea taarabu humu ndani.
 
CCM inayo hazina kubwa ya watu ndio maana hata Mtera yupo Kibajaji na Geita yupo Msukuma.

Jee wana Arusha ndio wamekutuma kuwa wanahitaji watu kama Kibajaji?
Bure kabisa wewe!
Kumbe unamjua eee
 
Ten
Tena ukome kuinajisi Arusha , Arusha haina mkazi yeyote mpuuzi asiye na akili kama wewe . Huo upuuzi wako peleka Chato huko maporini kwenu
Hivi wewe una SAFURA?
kwanini umeni quote kwa kuuliza swali kuwa Chakaza anamjua huyo Monaban?
Nimekosea wapi?
 
Watu wa Arusha wanataka kiongozi mwenye uwezo wa kuwa kisababishi cha maendeleo Arusha..kumbuka wapinzani wetawala Arusha kwa miaka mingi sasa lakini mambo ndio yameharibika kabisa..sekta ya utalii ipo hoi..ile mikutano ya kimataifa iliyokuwa inafanyika Arusha enzi zile sasa imekuwa historia n.k...mji unadumaa kama ule wa kilimanjaro..

Watu Arusha kwa sasa wanataka maendeleo na sio upinzani usiokuwa na tija kwao.
Watu wa Arusha wakina nani?na ni lini tumekwambia tunamtaka mono?na ni lini tumekuteua utuzungumzie?na kama mpaka sasa umeshajua tunamtaka nani hapo naona dalili zote za wizi wa kura,uwezi kujua tunamtaka nani kabla hata atujapiga kura!usituzungumzie sisi,zungumzia nafsi yako,box ya kura ndio itasema watu wa Arusha tunamtaka nani full stop
 
Watu wa Arusha wakina nani?na ni lini tumekwambia tunamtaka mono?na ni lini tumekuteua utuzungumzie?na kama mpaka sasa umeshajua tunamtaka nani hapo naona dalili zote za wizi wa kura,uwezi kujua tunamtaka nani kabla hata atujapiga kura!usituzungumzie sisi,zungumzia nafsi yako,box ya kura ndio itasema watu wa Arusha tunamtaka nani full stop
Tusubiri tuone kama huyo Lema atapita ndio utajua wewe ni mpita njia hapa Arusha..huyo Lema ajiandaye kisaikologia.
 
Hapo vip!!
Kutokana na Arusha kupitia kwenye machafuko ya kisiasa kama maandamano,mauwaji na vurugu zisizokuwa na maslahi yeyote kwa mkoa wa Arusha na wananchi wa Arusha.

Ni wazi kwasasa mkoa huu unahitaji kiongozi atakae ponya madondo na majereha ya kiuchumi yaliyotokana na ghasia za kisiasa.

Huyu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema,amekuwa ndio chanzo cha vurugu zote zilizotokea katika mkoa wa Arusha..kwasababu ni mtu ambaye aliitafuta ile nafasi kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya watu wa Arusha.

Kwa nini nasema Lema aliitafuta hii nafasi kwa maslahi binafsi...ni nyinyi ni mashahidi...huyu mtu tangia achaguliwe na wanaarusha mpaka sasa hatujawahi kusikia bungeni..akitoa hoja yenye hitaji ya maendeleo katika mkoa huu.
Mfano mrahisi tu ,Arusha ni mkoa ambao kutokana na hadhi yake inahitaji Internation airport..kama ilivyo Dar,mwanza,chato n.k nimeamua kutoa mfano huu kama mfano mdogo kabisa katika mahitaji ya mkoa wa Arusha,na sio lazima angelisemea hili bungeni,kuna mengine mengi.

Mbunge huyu sio mtu sahihi katika jimbo hili,mtu huyu utamuona akiwa mstari wa mbele akigomea jambo fulani bungeni na akiratibu maandamano..Yupo kiarakati zaidi

Arusha kwasasa inahitaji kiongozi mzalendo wa Arusha na anayesimama kwa maslahi wanaarusha.

Kiongozi kama Monoban ni hitaji la Arusha kwa sasa,Arusha inamuhitaji kiongozi mwenye utulivu wa akili,asiye na papara,mwenye hekima na busara katika kufanya maamuzi...mtu mzima fulani,asiyeendeshwa na mihemuko.

Naamini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wazuri,nahata kama sio Monoban,mtatuletea mtu mwingine mwenye kuheshimu Arusha na mwenye uwezo wa kuongezea thamani fursa za Arusha.

Arusha poleni kwa mapito
Upo darasa l ngapi ktk primary education ?
 
Naona kadri ninavyokujibu nakupa credit humu ndani..
Akili zangu sio za shindana na mtu mwenye akili duni kama wewe,unayetuletea taarabu humu ndani.
Bora ukimbie maana nilikuwa na mpango wa kukuombea lift kwenye Basi la buza urudi kwenu kwa lulenge huku mjini Kati hupawezi! Ati una akili, basi sawa, ndio maana unaishabikia ccm! Wenye akili huandika kiswahili kilichonyooka sio hiki Cha kwako Cha Burundi!
 
Watu wa Arusha wanataka kiongozi mwenye uwezo wa kuwa kisababishi cha maendeleo Arusha..kumbuka wapinzani wetawala Arusha kwa miaka mingi sasa lakini mambo ndio yameharibika kabisa..sekta ya utalii ipo hoi..ile mikutano ya kimataifa iliyokuwa inafanyika Arusha enzi zile sasa imekuwa historia n.k...mji unadumaa kama ule wa kilimanjaro..

Watu Arusha kwa sasa wanataka maendeleo na sio upinzani usiokuwa na tija kwao.
Kusanya "kweli" zako pamoja. Mikutano ya kimataifa na Lema tena!!!
Eh! Mkuu muwe mnaangalia bwana ....mfano Mkapa alikuza per capita kwa kiwango kikubwa kutoka kilipokuwa lakini sasa kazi yote inaonekana Rais wa sasa...naam waliosababisha fujo na mauaji Arusha unawajua lakini umempa Lema hilo.
Aliepoza moto wa mahusiano ya kidiplomasia/jumuiya ya kimataifa unamjua lakini unamlalamikia Lema😂.
Duh kweli Chadema walimuua Acquilina😆 kama ndio hivyo.
 
Back
Top Bottom