NIMEKIMBIA CCM
Senior Member
- Oct 4, 2011
- 193
- 26
Her na baraka za mwaka mpya ndugu watz wenzangu,kwanza kabsa samahan kwan kutokana na kukosa uzoefu wa ku2mia jf cna hakika kama hapa n mahala pake kuleta hl swala,NAOMBA RADH KWA HL
Mm n kjan ambae nmesoma mpaka 4m4 kwa kwel matokeo yangu hayakuwa mazur lakn nlpata credt 3 ambazo nngeweza enda prvate xul.lkn kutokana na hal dun ya kuchum ckubhatka kuendelea na masom na kufanya 4m4 kuwa mwsho wa elmu yangu.
Lengo langu kubwa nilikuwa napenda kuja kusomea masuala ya computer,nlpata bhat ya kupata desk top na hvo kunrahssha at least kuijua kwa matumz madogo,nmepata sh 50000,hv sasa nataka na nnashauku ya kujua ufund ila naomba msaada wa kuambiwa kitabu ambacho naweza kukpata na nksoma mm mwenyewe nkawa nmevuka hatua ktk comp,hvo naomba anae fahamu kitabu au hata video ambayo inaweza kunsaidia,SAMAHAN CHTAJ MWL/CENTRe Kwan sna uwezo wa kugharamia ,MUNGU AWABARIKI SANA
Mm n kjan ambae nmesoma mpaka 4m4 kwa kwel matokeo yangu hayakuwa mazur lakn nlpata credt 3 ambazo nngeweza enda prvate xul.lkn kutokana na hal dun ya kuchum ckubhatka kuendelea na masom na kufanya 4m4 kuwa mwsho wa elmu yangu.
Lengo langu kubwa nilikuwa napenda kuja kusomea masuala ya computer,nlpata bhat ya kupata desk top na hvo kunrahssha at least kuijua kwa matumz madogo,nmepata sh 50000,hv sasa nataka na nnashauku ya kujua ufund ila naomba msaada wa kuambiwa kitabu ambacho naweza kukpata na nksoma mm mwenyewe nkawa nmevuka hatua ktk comp,hvo naomba anae fahamu kitabu au hata video ambayo inaweza kunsaidia,SAMAHAN CHTAJ MWL/CENTRe Kwan sna uwezo wa kugharamia ,MUNGU AWABARIKI SANA