ndukulusudicho
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 496
- 751
We tulia mpokee utakavomkuta ridhika nae picha halisi utaiona siku hiyo tar 25 nawatakien mapunziko mema na shemeji yetuHaha asante mkuu ila huyu nilijaribu kumbana na kumdadisi angalau kutaka kujua anaonekanaje. Amedai ni mrefu wa wastan mweupe mwembamba .. Sasa nashindwa kupata picha yake halisi kwa kweli Maana simu hana yani hana wasap wala fb ..