DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Wyatt Mathewson,
Ndio maana mwafrika hakui kifra. Uliambiwa na nani kwamba kumuoa mtu ni kumkomboa ?
Ndio maana mwafrika hakui kifra. Uliambiwa na nani kwamba kumuoa mtu ni kumkomboa ?
Ndiyo mkuuUmewahi kuishi nao mkuu ?
Kweli kabisa umetoa wapi akili za ziada kiasi hichi au ni huko USA bac karibu Africa tufananeNdio maana mwafrika hakui kifra. Uliambiwa na nani kwamba kumuoa mtu ni kumkomboa ?
Hoo aisee hapo nimekuelewa mkuu..Kama kweli unachokisema ni kweli!
Utatapeliwa mchana kweupe!
Hicho ni kikosi maalum cha kuibia watu pesa kwa mtindo wa kimapenzi shtuka!
Kwahiyo unanishauri nini eti dada. Nimsubiri tu aje tupange maisha auMiaka ya nyuma akati tunakosea kutuma ela unamuomba akurudishie, bro aliwrong akatuma laki3 mbena wa watu na dhiki zake hana ata smartphone jaman uyu dada akamrudishia broo muamala wake, wakawasliana weeee mwaka adi kaka ikabidi aende akamuone, wajua alimuoa adi leo ndo wifi yetu hana tamaa kabisa ila tabia na kabila la mtu avina uhusiano mambo yameshakuwa mengi
Mimi nipo Mpanda huku Katavi lakini sina mawazo ya kitumwa kama huyo fellaKweli kabisa umetoa wapi akili za ziada kiasi hichi au ni huko USA bac karibu Africa tufanane
Ndio maana mwafrika hakui kifra. Uliambiwa na nani kwamba kumuoa mtu ni kumkomboa ?
Ukiona mtu anatumia nguvu na jazba nyingi kuwasilisha hoja zake ujue kichwani mweupe. Sasa lazima atumie matusi na maneno ya ovyo ili kufikisha ujumbe wakeMkuu umeongea kwa jazba sana dahh
Wewe dogo una tabia za ki.s.e.n.g.e.re sana. Unaamini chochote unachokiwaza wewe basi ni universal law.
Ushamba umekujaa punguwani wa hedi
Kwa akili hizi wahindi ndo huoa Dada zao tumbo moja kulinda Mali mungu akusamehe bure