Remotex
Member
- Oct 3, 2020
- 60
- 104
Habarini wanajukwaa la Elimu... kwa heshima na taadhima ninajambo naomba msaada kwenu...
Nilimaliza elimu yangu ya sekondari (O'Level) mwaka 2002 Shule flani ya ufundi hapa nchini tuseme miaka 18 iliyopita... skubahatika kuchaguliwa kuendelea na masomo, kwa maana sikufanya vizuri... na baada ya hapo nilirudi kijijini kupambana na shughuli za kilimo.
Baada ya kujitathimini kwa muda mrefu, Bado najihisi nina uwezo flani wa kimasomo kusoma masomo ya ufundi katika chuo cha ufundi huko Dar chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) kwa Course ya Biomedical Equipment Engineering (BEE). Ili niweze kuwakomboa ndugu na jamaa huku kijijini kwa huduma za kiafya.
Baada ya kufwatilia vigezo vya kujiunga nimegundua kuwa skusoma "Biology" sababu ilikuwa ni shule ya ufundi. Je hicho kinaweza kuwa kikwazo cha kutochaguliwa... Si kwa sasa ni mwakani 2021 Mungu akipenda na nitajisomesha mwenyewe.
Matokeo yangu ni kama ilivyo hapa chini.
1. Basic Mathematics-B - Pass
2. English - C - Pass
3. Geography - C - Pass
4. Eng/Science - D - Pass
5. Chemistry - D - Pass
6. Kiswahili - D - Pass
7.Geography - D - Pass
8. Building Construction - D - Pass
Kwa mwenye ufahamu kuhusu hili naombeni msaada wenu...
"PAMOJA TULIJENGE TAIFA LETU"
Ahsanteni naomba kuwasilisha.
Nilimaliza elimu yangu ya sekondari (O'Level) mwaka 2002 Shule flani ya ufundi hapa nchini tuseme miaka 18 iliyopita... skubahatika kuchaguliwa kuendelea na masomo, kwa maana sikufanya vizuri... na baada ya hapo nilirudi kijijini kupambana na shughuli za kilimo.
Baada ya kujitathimini kwa muda mrefu, Bado najihisi nina uwezo flani wa kimasomo kusoma masomo ya ufundi katika chuo cha ufundi huko Dar chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology (DIT) kwa Course ya Biomedical Equipment Engineering (BEE). Ili niweze kuwakomboa ndugu na jamaa huku kijijini kwa huduma za kiafya.
Baada ya kufwatilia vigezo vya kujiunga nimegundua kuwa skusoma "Biology" sababu ilikuwa ni shule ya ufundi. Je hicho kinaweza kuwa kikwazo cha kutochaguliwa... Si kwa sasa ni mwakani 2021 Mungu akipenda na nitajisomesha mwenyewe.
Matokeo yangu ni kama ilivyo hapa chini.
1. Basic Mathematics-B - Pass
2. English - C - Pass
3. Geography - C - Pass
4. Eng/Science - D - Pass
5. Chemistry - D - Pass
6. Kiswahili - D - Pass
7.Geography - D - Pass
8. Building Construction - D - Pass
Kwa mwenye ufahamu kuhusu hili naombeni msaada wenu...
"PAMOJA TULIJENGE TAIFA LETU"
Ahsanteni naomba kuwasilisha.