cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Habar wakuu! mimi ni muumini wa dhehebu la katoliki, kumekuwa na simtofaham baina ya sisi wakatoliki kuhusu nafas ya pengo katika baraza la maaskofu tanzania! jana nilikuwa nabishana na jamaa mmoja mwenye itikad tofaut na ukristo kwa kusema ivyo nadhan mtakuwa mmenipata jamaa ni itikadi gan! kwa uwelewa wangu nafaham kama pengo ni askofu wa jimbo kuu katoliki la Dar ila kwenye balaza la askofu tanzania sifaham nafas yake na jamaa yeye anasema pengo ndio kiongozi mkuu wa wakatoliki tanzania sasa kwa mwenye uelewa juu ya hili tunaomba atufafanulie najua wapo baadhi ya wakatoliki wenye uwelewa mdogo kama mimi, ivyo kwa faida ya wengine , kiongozi mkuu wa wakatoliki tanzania ni yupi? ni kweli Pengo au kuna mwingine? na kama kuna mkubwa zaidi ya Cardinal Pengo uyo nae atakuwa Cardinal au atakuwa na cheo gan?