Kisange
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 368
- 315
Habari zenu wataalam.
Nilikua naomba kuuliza kwa wenye uelewa hapa.
Nilikua natumia pc yangu nilichomeka kwenye socket ghafla nikashangaa adapta inafuka moshi na inatoa maji fulani hivi yakunuka. Nikahisi tayari imeshaungua.
Kweli nilipojaribu nikagundua haifanyi tena kazi..
Hii adopta ni ya ACER ila nina adapta nyingine ya DELL ambayo imekatika PINi ya kuchomeka kwenye tundu.
Kwahiyo nilikua nauliza je nikikata waya wa PINI ile ya ile chaji ya ACER nikiunganisha kwenye hii adapta(chaja) ya dell je vipi itaweza kufanya kazi angalau hata kuwasha tu PC iakua afadhari maana kwa sasa pesa sina..
Hebu wajuzi mnisaidie..
Nilikua naomba kuuliza kwa wenye uelewa hapa.
Nilikua natumia pc yangu nilichomeka kwenye socket ghafla nikashangaa adapta inafuka moshi na inatoa maji fulani hivi yakunuka. Nikahisi tayari imeshaungua.
Kweli nilipojaribu nikagundua haifanyi tena kazi..
Hii adopta ni ya ACER ila nina adapta nyingine ya DELL ambayo imekatika PINi ya kuchomeka kwenye tundu.
Kwahiyo nilikua nauliza je nikikata waya wa PINI ile ya ile chaji ya ACER nikiunganisha kwenye hii adapta(chaja) ya dell je vipi itaweza kufanya kazi angalau hata kuwasha tu PC iakua afadhari maana kwa sasa pesa sina..
Hebu wajuzi mnisaidie..