Mo pal-mo
Senior Member
- Jan 16, 2021
- 176
- 243
Habari wana jamvi.....
Nina Pc yangu aina ya dell ilipatwa na tatizo gafla ambalo imekuwa changamoto kutatuka. Siku moja niliiwasha Pc yangu lakin cha kushangaza ukaja mwanga mweupe tuu. Nikazima nikawasha tena ikawa hivyohivyo kama awali, nikaanza kazi ya zima nikuwashe hola, lakini karibia mara kibao ikaja ikabahatika kutokuleta mwanga mweupe(yaan huoni chochote) na ikaleta mwanga wa window ila kuna maneno ikanielekeza kuwa strike f1 to continue nikafanya hivyo ikakubali. Sasa basi baada ya kutumia nikaizima ile nahitaji kuitumia baadae tatizo lile lile, ikabid niipeleke kwa fundi akailekebisha nimeitumia kama wiki tuu tatizo limerudi tena ,ndo imebid nije hapa jukwaani nipate kama kuna mtu yuko na utatuzi wa tatizo hili maana penye wengi hapakosi maarifa.
Ahsanten
Nina Pc yangu aina ya dell ilipatwa na tatizo gafla ambalo imekuwa changamoto kutatuka. Siku moja niliiwasha Pc yangu lakin cha kushangaza ukaja mwanga mweupe tuu. Nikazima nikawasha tena ikawa hivyohivyo kama awali, nikaanza kazi ya zima nikuwashe hola, lakini karibia mara kibao ikaja ikabahatika kutokuleta mwanga mweupe(yaan huoni chochote) na ikaleta mwanga wa window ila kuna maneno ikanielekeza kuwa strike f1 to continue nikafanya hivyo ikakubali. Sasa basi baada ya kutumia nikaizima ile nahitaji kuitumia baadae tatizo lile lile, ikabid niipeleke kwa fundi akailekebisha nimeitumia kama wiki tuu tatizo limerudi tena ,ndo imebid nije hapa jukwaani nipate kama kuna mtu yuko na utatuzi wa tatizo hili maana penye wengi hapakosi maarifa.
Ahsanten