Mwamba028
JF-Expert Member
- Nov 15, 2013
- 4,548
- 3,542
Kwa mwenye kuijua hii dawa naomba maelezo kidogo, Nimesikia ni dawa nzuri ya asili ambayo inatibu magonjwa mengi ya mifupa mana mzee wangu kuna mguu unamsumbua na kuna mtu kanambia niitafute hii Omega 48,,So kwa mwenye kuijua vizuri na upatikanaji wake hapa Tz naomba msaada