karanga mbichi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 268
- 222
Jana nikifatilia mkutano wa rais na wafanyabiashara nilipitwa na sehemu ya hotuba/maagizo ya mh rais magufuli kwa mama samiah mpaka alipotaja namba zake za simu..
Ndio mkuu nipe namba pia si mbayaShida yako ni Clip ama namba za sim!? Kama namba nikupe ninazo.
Jana nikifatilia mkutano wa rais na wafanyabiashara nilipitwa na sehemu ya hotuba/maagizo ya mh rais magufuli kwa mama samiah mpaka alipotaja namba zake za simu..