Kwa mwenendo huu wa upinzani, CCM inaelekea kushinda ushindi wa kishindo 2020

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,182
3,547
Baada ya kufuatilia vizuri uchaguzi wa kata 43 na kuona yaliyotokea na CCM ikashinda kata 42 kati ya 43
Nimegundua CCM itashinda kwa kishindo na kurudisha kata na majimbo waliyopoteza

Nasema hivyo kwa sababu hadi sasa sijasikia kauli yoyote ya kiongozi wa upinzani akizungumzia matokeo ya uchaguzi mdogo
Ni kwanini tumeanguka zaidi hadi sasa kinachoendelea


1.Hadi sasa CUF kuna mpasuko
Mkubwa kati ya CUF maalim na cuf lipumba hawaelewani
Na wameshapelekana mahakamani

2.ACT viongozi wake wametimkia ccm akiwemo mgombea uraisi
2015 ambaye sasa ni mkuu wa mkoa.

3.Viongozi wa ACT na makamanda
Wa ACT wamekimbilia wote CCM
Amebaki zitto bado hajui afanye
Nini maana aliowategemea akina
Kitila, mwigamba wameshamkimbia

4.Mbatia ambaye ni mmoja wa
Majemedari na wanasiasa wenye
Ushawishi mkubwa kisiasa ameamua kukaa kimyaa tangu
Mwaka jana hajasikika hadi
Leo na nccr hatujui hatma yake.

5.CHADEMA kupitia mbowe
Wameshakata tamaa na dalili za kukata tamaa ni kauli ya mbowe madiwani
Wajiondoe katika uchaguzi
Wa kata tano na ccm imeshinda na ccm

6.Mpaka sasa CHADEMA baada ya kuanguka uchaguzi mkuu
2015 hadi sasa hatujajua ni wapi tulipo hatujajua ni wapi tulipo angukia na kama
Tunajua ni hatua gani viongozi wamechukua ili 2020 turekebishe wapi tumekosea

7.Wakati CHADEMA wakiwa katika majonzi ya kupata kata moja kati ya 45 viongozi wakubwa kama akina Lowasaa, Sumaye na wengineo hatujasikia watoe
Tamko lolote wote wako kimya kama hawajui kinachoendelea.

8.Baada ya kuanguka katika
Kata 43 na hakuna hata kiongozi aliyetoa sababu kwanini tumeshidwa na kama ipo sababu ni tahadhari gani imechukuliwa hadi sasa.

Kwa mwenendo huu wa upinzani ccm ni lazima ishinde uchaguzi wa 2020 kwa kishindi
Itashinda kwa kishindo na kurudisha majimbo yote
 
Ha ha haaaa!!! Siku hizi hata povu hawatoi tena naona wamejichokea!!..hata nyuzi hawaanzishi tena kwenye hii jukwaa
 
Upinzani hawana shida, tatizo ni serikali kuwatumia polisi vibaya, wanatengeneza kibiti nyingi zaidi. Mimi siamini kama uchaguzi ukiwa wa haki ccm atapita
 
Maisha ya siasa ndivyo yalivyo na ukifuatilia zaidi wapinzani waukweli ni wanachama sio viongozi
 
Ukiingia ulingoni na mpinzani wako akatakiwa kupigana nawe hali amefungwa mikono na miguu halaf ukamshinda, nitashangaa kama utaufurahia ushindi huo. Ndivyo itakavyokuwa hata 2020 kama tutaendelea na katiba tuliyo nayo sasa bila tume huru ya uchaguzi!
 
BAADA YA KUFATILIA VIZULI UCHAGUZI WA KATA 43 NA KUONA YALIYOTOKEA NA CCM IKASHINDA KATA 42 KATI YA 43
NIMEGUNDUA CCM ITASHINDA KWA KISHINDO NA KURUDISHA KATA NA MAJIMBO WALIYOPOTEZA

NASEMA HIVYO KWA SABABU HADI SASA SIJASIKIA KAULI YOYOTE YA KIONGOZI WA UPINZANI AKIZUNGUMZIA MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO
NI KWANINI TUMEANGUKA ZAIDI HADI SASA KINACHOENDELEA


1.Hadi sasa CUF kuna mpasuko
Mkubwa KATI YA CUF MAALIM NA CUF LIPUMBA HAWAELEWANI
NA WAMESHAPELEKANA MAHAKAMANI

2.ACT viongozi wake wametimkia ccm akiwemo mgombea uraisi
2015 ambaye sasa ni Mkuu WA Mkoa.

3.Viongozi WA act na makamanda
WA act wamekimbilia wote ccm
Amebaki zitto bado hajui afanye
Nini maana aliowategemea akina
Kitila, mwigamba wameshamkimbia

4.mbatia ambaye ni mmoja wa
Majemedari na wanasiasa wenye
Ushawishi mkubwa kisiasa ameamua kukaa kimyaa tangu
Mwaka Jana hajasikika hadi
Leo na NCCR HATUJUI HATMA YAKE.

5.CHADEMA KUPITIA MBOWE
WAMESHAKATA TAMAA NA DALILI ZA KUKATA TAMAA NI KAULI YA MBOWE MADIWANI
WAJIONDOE KATIKA UCHAGUZI
WA KATA TANO NA CCM IMESHINDA NA CCM

6.MPAKA SASA CHADEMA BAADA YA KUANGUKA UCHAGUZI MKUU
2015 HADI SASA HATUJAJUA NI WAPI TULIPO HATUJAJUA NI WAPI TULIPO ANGUKIA NA KAMA
TUNAJUA NI HATUA GANI VIONGOZI WAMECHUKUA ILI 2020 TUREKEBISHE WAPI TUMEKOSEA

7.WAKATI CHADEMA WAKIWA KATIKA MAJONZI YA KUPATA KATA MOJA KATI YA 45 VIONGOZI WAKUBWA KAMA AKINA LOWASAA, SUMAYE NA WENGINEO HATUJASIKIA WATOE
TAMKO LOLOTE WOTE WAKO KIMYA KAMA HAWAJUI KINACHOENDELEA.

8.BAADA YA KUANGUKA KATIKA
KATA 43 NA HAKUNA HATA KIONGOZI ALIYETOA SABABU KWANINI TUMESHIDWA NA KAMA IPO SABABU NI TAHADHARI GANI IMECHUKULIWA HADI SASA.

KWA MWENENDO HUU WA UPINZANI CCM NI LAZIMA ISHINDE UCHAGUZI WA 2020 KWA KISHINDI
ITASHINDA KWA KISHINDO NA KURUDISHA MAJIMBO YOTE

Ulitaka waseme.nini wakati zaidi ya wabunge 10 na wanachama wa Chadema 120 bila kuwasahau Mawakala na wagombea wamekwa Rumande toka juzi wengine toka Jumamosi unataka waseme nini??

Endeleni kushereheka.Baada ya kufanikiwa kwenye Mapanga na mitutu ni wakati wenu wa kunywa na kula
 
Ukiingia ulingoni na mpinzani wako akatakiwa kupigana nawe hali amefungwa mikono na miguu halaf ukamshinda, nitashangaa kama utaufurahia ushindi huo. Ndivyo itakavyokuwa hata 2020 kama tutaendelea na katiba tulip NATO sasa bila tume huru ya uchaguzi!
Ukoo sawa kaka
 
Uko sahihi sana mkuu.mwenyewe nimejiuliza hivi chadema wako serious kweli?Nilitegemea kikao cha dharula kujadl mustakabali wa chama lkn mmmmh lowasa ndo kwanza yuko Kenya wengine wapo wapo tu wanaunguruma Facebook na wafuas wao leo wameletewa ngoma mpya ya lisu so wameshasahau nini juzi kimetokea.

Kwa UPINZANI huu CCM itatawala miaka 50 mbele tena.Haiwezekan kuanzia viongoz had wafuas mkapuuza hoja na matukio ya uchaguzi wa madiwan na kukazania kujadl kwanini magufuli hajaenda Kenya mara VP kaenda kumsalimia lisu na hoja ambazo ni matukio ya kupita tu na hayana impact yyt ktk chama.Upinzan legelege hudeal na matukio sio agenda na kushika madaraka wasahau.
 
Uko sahihi sana mkuu.mwenyewe nimejiuliza hivi chadema wako serious kweli?Nilitegemea kikao cha dharula kujadl mustakabali wa chama lkn mmmmh lowasa ndo kwanza yuko Kenya wengine wapo wapo tu wanaunguruma Facebook na wafuas wao leo wameletewa ngoma mpya ya lisu so wameshasahau nini juzi kimetokea.

Kwa UPINZANI huu CCM itatawala miaka 50 mbele tena.Haiwezekan kuanzia viongoz had wafuas mkapuuza hoja na matukio ya uchaguzi wa madiwan na kukazania kujadl kwanini magufuli hajaenda Kenya mara VP kaenda kumsalimia lisu na hoja ambazo ni matukio ya kupita tu na hayana impact yyt ktk chama.Upinzan legelege hudeal na matukio sio agenda na kushika madaraka wasahau.
Hakuna haja ya kikao cha dharura kwa ushindi uliokwishapotea. Chadema tufanye tathmini ya kisayansi ili tujue tulipojikwaa na siyo tulipoangukia. In vema tukatafakari mbinu za kulinda majimbo yetu na kuongeza mengi zaidi come 2020, kuliko kuwekeza kwenye uraisi ambao, kwa mbinu ovu za chama dola pamoja na katiba iliyopo, haiwezekani kushinda.

Mkutano makini ufanyike tena uandaliwe vizuri ili tujue hatima na nafasi yetu katika mazingira ya sasa ambayo ni adui kwa maendeleo ya kidemokrasia!
 
Hakuna haja ya kikao cha dharura kwa ushindi uliokwishapotea. Chadema tufanye tathmini ya kisayansi ili tujue tulipojikwaa na siyo tulipoangukia. In vema tukatafakari mbinu za kulinda majimbo yetu na kuongeza mengi zaidi come 2020, kuliko kuwekeza kwenye uraisi ambao, kwa mbinu ovu za chama dola pamoja na katiba iliyopo, haiwezekani kushinda.

Mkutano makini ufanyike tena uandaliwe vizuri ili tujue hatima na nafasi yetu katika mazingira ya sasa ambayo ni adui kwa maendeleo ya kidemokrasia!
UNAPOSEMA HAKUNA HAJA YA KIKAO CHA DHARURA IVI UNAELEWA KITU UNACHOKIZUNGUMZA......

IVI UNAELEWA NI MADHARA GANI WALIYOYAPATA WANA CHADEMA KUPITIA UCHAGUZI HUU MDOGO
WATU WALIVYOPIGWA NA KUUMIZWA HALAFU TULIACHE JAMBO HILI LIPITE HIVI HIVI.

IVI UNAONGEA NINI WEWE
 
BAADA YA KUFATILIA VIZULI UCHAGUZI WA KATA 43 NA KUONA YALIYOTOKEA NA CCM IKASHINDA KATA 42 KATI YA 43
NIMEGUNDUA CCM ITASHINDA KWA KISHINDO NA KURUDISHA KATA NA MAJIMBO WALIYOPOTEZA

NASEMA HIVYO KWA SABABU HADI SASA SIJASIKIA KAULI YOYOTE YA KIONGOZI WA UPINZANI AKIZUNGUMZIA MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO
NI KWANINI TUMEANGUKA ZAIDI HADI SASA KINACHOENDELEA


1.Hadi sasa CUF kuna mpasuko
Mkubwa KATI YA CUF MAALIM NA CUF LIPUMBA HAWAELEWANI
NA WAMESHAPELEKANA MAHAKAMANI

2.ACT viongozi wake wametimkia ccm akiwemo mgombea uraisi
2015 ambaye sasa ni Mkuu WA Mkoa.

3.Viongozi WA act na makamanda
WA act wamekimbilia wote ccm
Amebaki zitto bado hajui afanye
Nini maana aliowategemea akina
Kitila, mwigamba wameshamkimbia

4.mbatia ambaye ni mmoja wa
Majemedari na wanasiasa wenye
Ushawishi mkubwa kisiasa ameamua kukaa kimyaa tangu
Mwaka Jana hajasikika hadi
Leo na NCCR HATUJUI HATMA YAKE.

5.CHADEMA KUPITIA MBOWE
WAMESHAKATA TAMAA NA DALILI ZA KUKATA TAMAA NI KAULI YA MBOWE MADIWANI
WAJIONDOE KATIKA UCHAGUZI
WA KATA TANO NA CCM IMESHINDA NA CCM

6.MPAKA SASA CHADEMA BAADA YA KUANGUKA UCHAGUZI MKUU
2015 HADI SASA HATUJAJUA NI WAPI TULIPO HATUJAJUA NI WAPI TULIPO ANGUKIA NA KAMA
TUNAJUA NI HATUA GANI VIONGOZI WAMECHUKUA ILI 2020 TUREKEBISHE WAPI TUMEKOSEA

7.WAKATI CHADEMA WAKIWA KATIKA MAJONZI YA KUPATA KATA MOJA KATI YA 45 VIONGOZI WAKUBWA KAMA AKINA LOWASAA, SUMAYE NA WENGINEO HATUJASIKIA WATOE
TAMKO LOLOTE WOTE WAKO KIMYA KAMA HAWAJUI KINACHOENDELEA.

8.BAADA YA KUANGUKA KATIKA
KATA 43 NA HAKUNA HATA KIONGOZI ALIYETOA SABABU KWANINI TUMESHIDWA NA KAMA IPO SABABU NI TAHADHARI GANI IMECHUKULIWA HADI SASA.

KWA MWENENDO HUU WA UPINZANI CCM NI LAZIMA ISHINDE UCHAGUZI WA 2020 KWA KISHINDI
ITASHINDA KWA KISHINDO NA KURUDISHA MAJIMBO YOTE
Watu kama ninyi ni hovyo kabisa unajiweka pembeni na kurusha lawama kama vile wewe hayakuhusu, kazi tu kushusha lawama kwa wenzako. Unadhani wao hawana damu na nyama? Ningekuelewa kama ungekuja na hoja ya tufanye nini kama taifa na sio kujifanya analyst uchwara kwa kurusha lawama kwa binadamu kama wewe. Wewe mazingira haya ya kisiasa unayaona kama kwa lens ya mbao sio.
 
UNAPOSEMA HAKUNA HAJA YA KIKAO CHA DHARURA IVI UNAELEWA KITU UNACHOKIZUNGUMZA......

IVI UNAELEWA NI MADHARA GANI WALIYOYAPATA WANA CHADEMA KUPITIA UCHAGUZI HUU MDOGO
WATU WALIVYOPIGWA NA KUUMIZWA HALAFU TULIACHE JAMBO HILI LIPITE HIVI HIVI.

IVI UNAONGEA NINI WEWE
Si lazima kiwe "cha dharura"! Wacha wavute pumzi na reflect. Let the dust settle. Kama kushidwa tumeshindwa na hakuna cha kufanya isipokuwa kwenda mahakamani ambako so lazima tushinde. Kikao ni cha muhimu sana lakini so lazima kiwe cha dharura. Hiki kipigo ni kibaya sana hatuwezi kusema tumeonewa kote tulikoshindwa kwa hiyo kinachopaswa kufanyika sasa ni fact finding kabla cum assessment of the reality. Yakishafanyika haya kikao kiitishwe. So lazima kiwe "cha dharura" Ila wasikicheleweshe sana!
 
Back
Top Bottom