Kwa mwenendo huu wa CHADEMA, Hayati Magufuli alikuwa sahihi kizuia siasa uchwara

Mara baada ya kuingia madarakani Hayati Dkt. John Joseph Pombe Magufuli alitoa angalizo kwa wanasiasa na wananchi kwa ujumla kuachana na Siasa na wajikite kwenye maendeleo.

Mh Hayati Rais Magufuli alitoa angalizo hilo kwa nia njema ila likitafsiriwa kwa kupotoshwa na wafuasi wa CHADEMA.

Leo hii tunajionea tena Chadema ikigeuka kuwa gunia la kinyesi lisilobebeka yaani hata ukilimwagia marashi ya pemba.

Kwa muktadha huu Hayati Magufuli atakumbukwa kwa kutuwekea mustakabali wa kitaifa yaani kufikiri na kutenda maendeleo.
Hii nchi tungekuwa na mjinga mwingine kama wewe tungekuwa hatarini sana. Watu kujadili katiba tena ukumbi wa ndani kunashida gani? Mnataka wajadili tozo kisha mzifute kutafuta u-hero?? Nchi gani guru watu hawaruhusiwi kukutana na kujadiliana? Labda Korea kaskazini...
 
Ndio maana unaitwa jingalao, raia kama nyie ni mzigo na mnachelewesha maendeleo ya nchi
 
Tanzania bila CCM tungekuwa tumeendelea sana, sijui tutayatoaje haya mamtu, please vote in upinzani at least bunge liwe 50/50 ili kazi ya kweli ianze na pigania katiba mpya kwa nguvu zote
 
Hii nchi tungekuwa na mjinga mwingine kama wewe tungekuwa hatarini sana. Watu kujadili katiba tena ukumbi wa ndani kunashida gani? Mnataka wajadili tozo kisha mzifute kutafuta u-hero?? Nchi gani guru watu hawaruhusiwi kukutana na kujadiliana? Labda Korea kaskazini...
Mnajadili katiba ?hivi katiba ya chama chenu nani aliipitisha?
 
Tanzania bila CCM tungekuwa tumeendelea sana, sijui tutayatoaje haya mamtu, please vote in upinzani at least bunge liwe 50/50 ili kazi ya kweli ianze na pigania katiba mpya kwa nguvu zote
Yaani watu waache kuchagua maendeleo wakachague watetezi wa ushoga
 
Mara baada ya kuingia madarakani Hayati Dkt. John Joseph Pombe Magufuli alitoa angalizo kwa wanasiasa na wananchi kwa ujumla kuachana na Siasa na wajikite kwenye maendeleo.

Mh Hayati Rais Magufuli alitoa angalizo hilo kwa nia njema ila likitafsiriwa kwa kupotoshwa na wafuasi wa CHADEMA.

Leo hii tunajionea tena Chadema ikigeuka kuwa gunia la kinyesi lisilobebeka yaani hata ukilimwagia marashi ya pemba.

Kwa muktadha huu Hayati Magufuli atakumbukwa kwa kutuwekea mustakabali wa kitaifa yaani kufikiri na kutenda maendeleo.
Si sahihi kuonea wenzio kisa wewe umeshika rungu.
Hata hivyo mjadala huu aliumaliza Dialo.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mara baada ya kuingia madarakani Hayati Dkt. John Joseph Pombe Magufuli alitoa angalizo kwa wanasiasa na wananchi kwa ujumla kuachana na Siasa na wajikite kwenye maendeleo.

Mh Hayati Rais Magufuli alitoa angalizo hilo kwa nia njema ila likitafsiriwa kwa kupotoshwa na wafuasi wa CHADEMA.

Leo hii tunajionea tena Chadema ikigeuka kuwa gunia la kinyesi lisilobebeka yaani hata ukilimwagia marashi ya pemba.

Kwa muktadha huu Hayati Magufuli atakumbukwa kwa kutuwekea mustakabali wa kitaifa yaani kufikiri na kutenda maendeleo.
Huyo mwendazake aliwafunga na kuwanyasa wapinzani yu wap ss muongezen muda watashindana nà upinzani hawatashinda mungu yu pamoja nao
 
Kwanini hawa jamaa wanaendesha siasa kwa MTINDO mmoja ambao ulishafeli na ulishasababisha ulemavu na kupoteza maisha?
 
Mara baada ya kuingia madarakani Hayati Dkt. John Joseph Pombe Magufuli alitoa angalizo kwa wanasiasa na wananchi kwa ujumla kuachana na Siasa na wajikite kwenye maendeleo.

Mh Hayati Rais Magufuli alitoa angalizo hilo kwa nia njema ila likitafsiriwa kwa kupotoshwa na wafuasi wa CHADEMA.

Leo hii tunajionea tena Chadema ikigeuka kuwa gunia la kinyesi lisilobebeka yaani hata ukilimwagia marashi ya pemba.

Kwa muktadha huu Hayati Magufuli atakumbukwa kwa kutuwekea mustakabali wa kitaifa yaani kufikiri na kutenda maendeleo.
Kwa taarifa yako Jiwe linaoza nanfunza tele maana lilimkasirisha Mungu. Na huyu anafuata soon!
 
Mara baada ya kuingia madarakani Hayati Dkt. John Joseph Pombe Magufuli alitoa angalizo kwa wanasiasa na wananchi kwa ujumla kuachana na Siasa na wajikite kwenye maendeleo.

Mh Hayati Rais Magufuli alitoa angalizo hilo kwa nia njema ila likitafsiriwa kwa kupotoshwa na wafuasi wa CHADEMA.

Leo hii tunajionea tena Chadema ikigeuka kuwa gunia la kinyesi lisilobebeka yaani hata ukilimwagia marashi ya pemba.

Kwa muktadha huu Hayati Magufuli atakumbukwa kwa kutuwekea mustakabali wa kitaifa yaani kufikiri na kutenda maendeleo.
Kalifufueni
 
Tukiwaendekeza hatutaendelea kamwe
Chadema ndiyo inayowafanya msiendelee? Miaka 50 plus baada ya uhuru watoto wanasemwa chini ya mbuyu tuseme ni chadema?????
Embu mpeleka.ujinga wako lumumba kwa wajinga wenzio
 
Back
Top Bottom