digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,892
- 14,347
Naomba niwasabahi wanachama wa jf,hamjambo?
Naomba niende kwenye hoja yangu juu ya wafuasi na wanachama wa CHADEMA,Naomba niweke kumbukumbu sawa, hakuna mwaka ambao chadema aliwahi kuvuna wanachama wengi toka CCM kama mwaka wa Mafuliko 2015, ambapo watu mashuhuri toka CCM walijiunga na CHADEMA huku chadema akishangilia na kujitanua juu ya anguko la CCM.
Kwa kuwa vile unavyo mtenda mwenzako ndivyo nawe utakavyo tendwa(what comes around ,goes around) Leo hii chadema amesahau kuwa wakati CCM inasikitika kupoteza wanachama wake wakongwe mwaka 2015, yeye Chadema alikuwa anashangilia, mambo yamekuwa kinyume chake chadema ameanza kulialia na kulalamika eti CCM inanunua wapinzani,hii ni hoja mfu ambayo haina nashiko na inapaswa kupuuzwa, kama ndivyo hao chadema watuambie waliwanunua kiasi gani Lowassa na Sumayi maana inaonekana wana uzoefu mkubwa wa kununua na kuuza wafuasi wa vyama.
NB: Chadema wavumilie ,huu ni ubatizo wa moto,kwani ngoma bado mbichi sana hii,kufikia Oct 2020 tutaheshimiana tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niende kwenye hoja yangu juu ya wafuasi na wanachama wa CHADEMA,Naomba niweke kumbukumbu sawa, hakuna mwaka ambao chadema aliwahi kuvuna wanachama wengi toka CCM kama mwaka wa Mafuliko 2015, ambapo watu mashuhuri toka CCM walijiunga na CHADEMA huku chadema akishangilia na kujitanua juu ya anguko la CCM.
Kwa kuwa vile unavyo mtenda mwenzako ndivyo nawe utakavyo tendwa(what comes around ,goes around) Leo hii chadema amesahau kuwa wakati CCM inasikitika kupoteza wanachama wake wakongwe mwaka 2015, yeye Chadema alikuwa anashangilia, mambo yamekuwa kinyume chake chadema ameanza kulialia na kulalamika eti CCM inanunua wapinzani,hii ni hoja mfu ambayo haina nashiko na inapaswa kupuuzwa, kama ndivyo hao chadema watuambie waliwanunua kiasi gani Lowassa na Sumayi maana inaonekana wana uzoefu mkubwa wa kununua na kuuza wafuasi wa vyama.
NB: Chadema wavumilie ,huu ni ubatizo wa moto,kwani ngoma bado mbichi sana hii,kufikia Oct 2020 tutaheshimiana tu
Sent using Jamii Forums mobile app