Kwa mwendo huu, wanawake watakuwa mpira wa kona

KACHINJA

JF-Expert Member
Dec 26, 2015
1,263
864
Umemtongoza msichana zaidi ya miaka miwili,anakataa tena muda mwingine alikuwa anawapa simu wanaume ambao alikuwa nao kuonyesha msisitizo kuwa hataki.

Inapofikia kugairi na kuacha kumfuatilia anakupigia simu na kukuambia nimekaa na kujiuliza nimeona kweli unanipenda kwahiyo ombi lako nimekubali.

Hivi ukichapa na kuacha kuna lawama?

Na hicho ndio kinachopelekea wasichana wengi kuwa mipira ya kona.
 
Umemtongoza msichana zaidi ya miaka miwili,anakataa tena muda mwingine alikuwa anawapa simu wanaume ambao alikuwa nao kuonyesha msisitizo kuwa hataki.
Inapofikia kuagaili na kuacha kumfuatilia anakupigia cm na kukuambia nmekaa na kujiuliza nmeona kwel unanipenda kwa hyo ombi lako nimekubali......!

Hivi ukichapa na kuacha kuna lawama?

Na hicho ndio kinachopelekea wasichana wengi kuwa mipira ya kona
Hakunaga lawama hapo, chapa tu............

watoto wa mujini wanasemaga mbwa kala mbwa
 
Utakuwa huna msimamo tu! Yaani akili yako bendera fata upepo.
 
Umemtongoza msichana zaidi ya miaka miwili,anakataa tena muda mwingine alikuwa anawapa simu wanaume ambao alikuwa nao kuonyesha msisitizo kuwa hataki.

Inapofikia kugairi na kuacha kumfuatilia anakupigia simu na kukuambia nimekaa na kujiuliza nimeona kweli unanipenda kwahiyo ombi lako nimekubali.

Hivi ukichapa na kuacha kuna lawama?

Na hicho ndio kinachopelekea wasichana wengi kuwa mipira ya kona.

..Na Nasema WACHAPWE tu Kwa maana si wanajifanya wana kumbukumbu nzuri. Eti Hakuna jambo wanalolisahau vichwani mwao kuhusiana na mapenzi. Liwe baya au zuri wao hukumbuka.
 
..Na Nasema WACHAPWE tu Kwa maana si wanajifanya wana kumbukumbu nzuri. Eti Hakuna jambo wanalolisahau vichwani mwao kuhusiana na mapenzi. Liwe baya au zuri wao hukumbuka.
Kama mm watanikumbuka sana
 
Umemtongoza msichana zaidi ya miaka miwili,anakataa tena muda mwingine alikuwa anawapa simu wanaume ambao alikuwa nao kuonyesha msisitizo kuwa hataki.

Inapofikia kugairi na kuacha kumfuatilia anakupigia simu na kukuambia nimekaa na kujiuliza nimeona kweli unanipenda kwahiyo ombi lako nimekubali.

Hivi ukichapa na kuacha kuna lawama?

Na hicho ndio kinachopelekea wasichana wengi kuwa mipira ya kona.
We utakua hujapenda bali shida yako ilikua ni papuchi tu. Huna maana kabisa.
 
Nafikiri Kuna maboresho ya kujipatia thawabu na kulegeza vipengele vya dhambi ya uzinzi. Sipati picha kama wimbi la watoto wa kike Kuwa wengi mara nne ya wanaume. Nafikiri kuzini na mwanamke asiye na mtu itakua ni thawabu, sababu tusipofanya hivyo wanawake wengine watakua wakibweka mtaani kama mnwa(nyege)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom