Kwa kipi?Hamfikii ibra
Kwa kipi?Hamfikii ibra
Kama akili yako inawaza hivyo sawa sikulamizishi.Mtu mmoja ila rangi tofauti hongera boss kwa kua kinyonga...msalimie Zuchu hapo usafini.
Nimetaja kwa sababu jina tu limekuja wakati naandika hiyo comment.
Mbona umepataja?
Nimewahi ishi hapo mtu wangu
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ni yepi mafanikio ya Zuchu ukilinganisha na Jide? Zuchu ana album ngapi? Tuzo za kimataifa je? Wasanii wakubwa wa kigeni ni wepi amefanya nao kazi? Hebu acheni kumfananisha Jude na utokoBONDO FLAVOR HAVE ONE AND ONLY QUEEN ZUCHU, and lady jaydee is the only queen of bongo flavor but not one and only queen understood
Nimeona leo umepewa Milioni 1.Wewe utakuwa unachuki zako binafsi maana hizo song ulizotaja Ni hit song
Labda useme "had one queen",maana huyu Sasa anaandaliwa kupokea kijiti baada ya huyo uliemtaja kulegezea kamba vijana wanaokuja.Bongo fleva have only only Queen, Lady Jay Dee
msanii ambaye Hana hata account ya YouTubeHamfikii ibra
kama nyimbo gani ambazo ni utopolo...?Kwa Mwaka huu uiktoa Nyimbo hizi Ex Boyfrend,Vumilia,Mama la mama na Teamo anazoimba zingine zote utopolo ameanza kupoteza ladha ya mziki mzuri.
streams, ep, na Grammy consideration tuzo kubwa duniani ambazo hata hide aimbeje hawezi kupewaNi yepi mafanikio ya Zuchu ukilinganisha na Jide? Zuchu ana album ngapi? Tuzo za kimataifa je? Wasanii wakubwa wa kigeni ni wepi amefanya nao kazi? Hebu acheni kumfananisha Jude na utoko
kuimba kuhararisha bangiLabda useme "had one queen",maana huyu Sasa anaandaliwa kupokea kijiti baada ya huyo uliemtaja kulegezea kamba vijana wanaokuja.
Wasanii wa sasa hasa wa kike,bado Wana kitu Cha kujifunza kwa Jay Dee.
kama nyimbo gani ambazo ni utopolo...?
Broh njoo nikueleweshe achana na porojoView attachment 1602637View attachment 1602638View attachment 1602639Litawachoma ft Diamond Platnumz
Cheche ft Diamond Platnumz
Nobody ft Joeboy.
Hakuna jipya wala ubunifu wowote kwenye hizo ngoma 3. Hizo zote ni nyimbo za ku-underground.
Kwa hapa tz zitakamata kwa muda, ila kimataifa asahau.
Unforgetable
Kwahiyo kusema hivyo ndio imekufurahisha sana? We jamaaa una tabu kichwaniNimeona leo umepewa Milioni 1.
Hongera sana
Hapa vipi?Broh njoo nikueleweshe achana na porojoView attachment 1602637View attachment 1602638View attachment 1602639View attachment 1602640