Kwa mwendo huu wa Zuchu, kweli ni haki H-Baba kulalamika na kusema vile kuhusu Nandy

BONDO FLAVOR HAVE ONE AND ONLY QUEEN ZUCHU, and lady jaydee is the only queen of bongo flavor but not one and only queen understood
Ni yepi mafanikio ya Zuchu ukilinganisha na Jide? Zuchu ana album ngapi? Tuzo za kimataifa je? Wasanii wakubwa wa kigeni ni wepi amefanya nao kazi? Hebu acheni kumfananisha Jude na utoko
 
Bongo fleva have only only Queen, Lady Jay Dee
Labda useme "had one queen",maana huyu Sasa anaandaliwa kupokea kijiti baada ya huyo uliemtaja kulegezea kamba vijana wanaokuja.

Wasanii wa sasa hasa wa kike,bado Wana kitu Cha kujifunza kwa Jay Dee.
 
Ni yepi mafanikio ya Zuchu ukilinganisha na Jide? Zuchu ana album ngapi? Tuzo za kimataifa je? Wasanii wakubwa wa kigeni ni wepi amefanya nao kazi? Hebu acheni kumfananisha Jude na utoko
streams, ep, na Grammy consideration tuzo kubwa duniani ambazo hata hide aimbeje hawezi kupewa
 
Litawachoma ft Diamond Platnumz

Cheche ft Diamond Platnumz

Nobody ft Joeboy.

Hakuna jipya wala ubunifu wowote kwenye hizo ngoma 3. Hizo zote ni nyimbo za ku-underground.

Kwa hapa tz zitakamata kwa muda, ila kimataifa asahau.
Unforgetable
Broh njoo nikueleweshe achana na porojoView attachment 1602637View attachment 1602638View attachment 1602639
Screenshot_20200927-000422.jpg
 
Back
Top Bottom