Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,978
- 103,352
Bado akili haijakomaa. Kuna jamaa humu aliandika kuwa sasa vyuma vimelegea kwa vile wakubwa wanadonoa donoa ingawa sisi bado hali ni ngumu kama wakati wa JPM. Hujui kuwa Rais kwetu hapa ni Mungu mdogo kikatiba?
Kwa hiyo JK ni rais?