Bintiwamoyo
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 610
- 824
Halafu wataanza kulaumu upinzani.Mkija kushituka,shirika liko juu ya mawe!!
Halafu wataanza kulaumu upinzani.Mkija kushituka,shirika liko juu ya mawe!!
Seriously, Pascal? Kuna siku unaweza ku-suggest case za kubaka watoto au ufisadi zisiwe zinaandikwa kwenye vyombo vya habari kwa kuwa zinadhalilisha taifa letu.Bad timing, kwa ugeni mkubwa huu kuna vitu hatupaswi kusema.
P
Egypt Air is not an airline I would fly with even if it was the only airline left.Huu upuuzi nilikutana nao na Egypt Air, walikuwa na back log abiria kibao tulikuwa Heathrow. Airport management waliwaambia watatue tatizo kwani tulikuwa wengi sana Airport. Walituchukua na Airbus kufika Cairo hakuna connection ya Dar. Nilikaa Cairo siku tatu bila kupenda
Mkuu usishangae vijana Wa Lumumba pamoja na Faru wao kithungu kule kimeondoka kupanda pantoni angeelewa tu mwandosya angeongea kiswahili.Wakati mwingine kukaa kimya ni busara....
Hili shirika kuna watu wanalipwa kulihujumu......Anaandika Mark J.Mwandosya kupitia mtandao wa twitter:
I guess I am not lucky when it comes to travelling with Air Tanzania.I was booked for a 10.35am flight to Entebbe.The flight was delayed to 18.20hrs.Checked in early only to be informed the flight had been delayed again to 20hrs. Still waiting at the departure gate,full of hope.
Sidhani kama anatafuta suluhisho bali anawataarifu wahusika na wenye mali ili wasishangae siku moja inapoonekana shirika badala ya kupanda likawa linadidimia.Hili ni tatizo dogo ambalo linaweza kutatuliwa bila hata kukimbilia tweeter..
Tatizo hili linayapata mashirika mengi tuu ya ndege si ATCl peke yake....
Kama Mwandosya ameona tweeter ndio atapata suluhu basi tunamtakia kila la kheri....
Apotezwe babako kwanzaJuzi tu Turkish Airline ili delay for more than 48 hours kutoka Zanzibar. Wakatafuta hotel za kulaza abiria 130 wakakosa. Watu kama mwandosya wanatakiwa kupotezwa hawatufai kny hii nchi
Huu upuuzi nilikutana nao na Egypt Air, walikuwa na back log abiria kibao tulikuwa Heathrow. Airport management waliwaambia watatue tatizo kwani tulikuwa wengi sana Airport. Walituchukua na Airbus kufika Cairo hakuna connection ya Dar. Nilikaa Cairo siku tatu bila kupenda
NAIKUMBUKA ATC YA 2009. NILKOSA NDEGE YA PRECICION NIKIWA MWANZA ILIKUWA CANCELLED. NIKAOMBA WAN ITAFUTIE NDEGE MBADALA KWANI NILIKUWA NA SAFARI NYINGINE YA NJE YA NCHI KESHOKUTWA YAKE WAKANIZUNGUSHA. NDEGE YA ATC ILIKUWA NA SAFARI MWANZA DAR SALAAM JIONI SAA MOJA. MCHANA WOTE MPAKA SAA 11 JIONI NILIKUWA NAENDA KATI YA OFISI YA PRECISION NA ATC. ATC WALINIAMBAIA HAKUNA NAFASI. SAA 12 NA ROBO JIONI NIKAAMUA KWENDA UWANJANI. NIKAKUTA WATU WANAENDELEA KUINGIA KWENYE NDEGE. WAKANIAMBIA KAMA NINA PESA NAFASI ZIPO. KWENYE NDEGE HATA WATU HAWAKUFIKIA NUSU. HII NDIO ILIYOIUA ATC. NI NANI HAWA WALIOKUWA WAMEHWEKWA NAFASI HIZ MPAKA SAA 11 NA ROBO. JE WALILIPIA NAFASI HIZO WALIZOZUIA. IKIENDELEA HIVI ITAKUFA TU.
Enzi za Mark kulikuwa na ndege moja tena ndogo na wakati mungine kukawa hakuna ndege kabisa hata m
Mimi nilikuwa mshabiki mkubwa was ATCL lakini baada ya kupata experience mbaya mara 2 jambo ambalo liliniharibia biashara yangu, nimeachana na ATCL kimya kimya!Mimi nilifikiri ndege zimeshindwa kuruka sababu ya mafuta,kumbe mtu mmoja alichelewesha,wapo waliohairishiwa safari british wala hawakupost kitu!
Wewe itakuwa umepitwa na ule msemo "mzaha mzaha utumbu......" huko twitter na huku kwenye mitandao ndio sehemu sahihi kusemea, wahysika ni jukumu lao kutokea ufafanuzi na kurekebisha. Kuchelewa kupo lakini isiwe ndio kawaida. Na kama wanajua kuchelewa kwa nini wasiweke ratiba kuendana na kuchelewa kwao.Hili ni tatizo dogo ambalo linaweza kutatuliwa bila hata kukimbilia tweeter..
Tatizo hili linayapata mashirika mengi tuu ya ndege si ATCl peke yake....
Kama Mwandosya ameona tweeter ndio atapata suluhu basi tunamtakia kila la kheri....
Hili ni tatizo dogo ambalo linaweza kutatuliwa bila hata kukimbilia tweeter..
Tatizo hili linayapata mashirika mengi tuu ya ndege si ATCl peke yake....
Kama Mwandosya ameona tweeter ndio atapata suluhu basi tunamtakia kila la kheri....
Tulipokuwa wadogo tulifunzwa kukaa kimya siku kama kuna wageni. Hata kama baba na mama wamegombana na wamenuniana, akija mgeni watazuga kuongea ili mgeni asijue akishaondoka kununiana kunaendelea.
P
Ruta,
Kwa dunia ya leo "cancellation" ya masaa 10 si tatizo dogo. Labda, tena labda, kama zilikuwa sababu zisizoweza kuzuilika "force majeure".
Usijekuta ni ushamba wetu wa wageni wa sadc tukachelewesha wasafiri wengine.