Kwa mwendo huu, sijui kama ATCL itamudu ushindani wa kimataifa wa biashara ya anga

Hili ni tatizo dogo ambalo linaweza kutatuliwa bila hata kukimbilia tweeter..

Tatizo hili linayapata mashirika mengi tuu ya ndege si ATCl peke yake....

Kama Mwandosya ameona tweeter ndio atapata suluhu basi tunamtakia kila la kheri....
Kuna basi moja nilipanda toka Moshi saa 12 asbh nikafika ubungo saa 2 usiku tena ma mara 2.... Niliapa sitikaa nipande tena gari ya hiyo kampuni, ni nwaka wa 5 sasa hata nikilona sipandi na kampuni ina hali mbaya.. Kama unaona ya ATCL ni madogo subiri uone.
 
Hapo ndiyo huwa ninawashangaa sana waTanzania wenzangu! Badala ya kutoa ushauri wa kulisaidia shirika letu wewe unataka kuwaaminisha watu kuwa hilo ni tatizo dogo sana! This is very bad, Katika industry ya usafiri wa anga hakuna jambo baya kama kutokuaminika kwa ratiba za ndege zenu hii inaua shirika mara moja, ninashauri kwenye jukwaa hili kuwe na mada za kulisaidia Taifa letu badala ya muda wote kuufanya ni wa SIASA!
Ina maana kama Mwandosya aikua na mkugano Uganda saa 6 mchana akabook ndege ya saa 12 asbh ndege ikaondoka saa 12 jioni huyo mpuuzi anaona sawa tuu
 
Hili ni tatizo dogo ambalo linaweza kutatuliwa bila hata kukimbilia tweeter..

Tatizo hili linayapata mashirika mengi tuu ya ndege si ATCl peke yake....

Kama Mwandosya ameona tweeter ndio atapata suluhu basi tunamtakia kila la kheri....
Wasafiri wa daladala tu tunalalamika likichelewa sana kituoni wakati konda anahangaika kutafuta abiria sembuse ndege! Usafiri unaoaminika kuzingatia ratiba! Hili si jambo dogo hata kidogo
 
Back
Top Bottom