dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,905
- 8,245
- Thread starter
- #81
Ndo maana nkasema atasubiri sanaHahaaa,anashindwa kujiongeza,huyo hana cfa ya kuwa mke
Ndo maana nkasema atasubiri sanaHahaaa,anashindwa kujiongeza,huyo hana cfa ya kuwa mke
Yaan mwanamke aliyepanga/ kujenga kwake apike akuite ukale mwanaume ambaye ni boyfriend tu???
We run their world.
Mkuu usipende kulilia kupikiwa na wanawake haswa hawa wa Dar dizaini ya bongo muvi......atakualika kwake, kisha akupikie chakula kilichowekwa madawa ya hajabu ili upoteze network uanze kujigonga kwake na kuanza kumpenda yeye bila kutarajia. Kuwa mwangalifu sana na hawa mademu.
Sasa unalalamika nini???
Hahahahaha....pita zako tuu baba ntilieUgali hajaitwa apikiwe🤣🤣🤣🤣🤣. Mama ntilie. Napita zangu mie
Niko makini mkuu
Mkuu mi nahisi uchawi wa namna hiyo hauwezi kunidhuru. Mi mjukuu wa chiefuKutwa kucha wanashinda kwa waganga kutafuta namna ya kuteka nafsi za wanaume wasiojitambua na kuwafanya watumwa wao.
Mkuu mi nahisi uchawi wa namna hiyo hauwezi kunidhuru. Mi mjukuu wa chiefu
Whaaaaaat.....!!!?Nikupikie kwani wewe mlemavu?
ndo maana kuna ustawi wa jamijHivi wanaume muda wote mnawaza hbr za wanawake tu! Wazeni ni mambo mengine.
Whaaaaaat.....!!!?
Marahaba mdogo wanguShikamoo kaka.