Kwa mwendo huu, mtasubiri sana dada zetu

Mkuu usipende kulilia kupikiwa na wanawake haswa hawa wa Dar dizaini ya bongo muvi......atakualika kwake, kisha akupikie chakula kilichowekwa madawa ya hajabu ili upoteze network uanze kujigonga kwake na kuanza kumpenda yeye bila kutarajia. Kuwa mwangalifu sana na hawa mademu.
 
Back
Top Bottom