Kwa mwanamke kutokupenda kufanya tendo la ndoa ,na kutokusikia raha ya tendo la ndoa

Mkuu hapa wengi hawatakuelewa,nilipata a girl alikuwa na the same feelings aisee,tulhangaika mahospitali na makanisani,hakuna kitu..

Kuna ishu inaitwa low libido,tatizo walilosema hospital..na kanisani walisema mapepo
Hahaha so uliamini wapi kanisani au Hospitali. M nahisi huyu mwanamke mwenye low libido ananifaa sana, sidhani kama wanachepuka hawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namhurumia nimeamua kumsaidia,wenzie wanaenjoy balaa,unajua mtu unaona tofauti kabisa,mwanamke anaanza kusisismka kwa maneno tu,anaaza kufanya vitu ambavyo hata yeye havijui,mwanamke akiwa na nyege utamjua tu,ukianza kumshikashika sehemu muhimu anaweza kupiga bao kabisa kama sio kuchafua pichu yake,lkn yeye haoni chochote hadi yeye anajishitukia,anaomba nimsaidie kutafuta matibabu..
Duh noma sana unaweza mchukia bure kumbe siyo makosa yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes kabisa,kuna wanawake wanahitaji msaada kwa hili.Unakuta ulikua na mpenzi mmoja unafanya nae tendo la ndoa anakushukuru na kukusifu kuwa hakuwahi kupewa raha kama hizi unazompa,lakini unakutana na mwanamke mwingine anakuambia hasikii raha kabisa ya tendo la ndoa,na wala huwa hapati hamu kabisa ya kutaka kufanya tendo la ndoa
Damu zenu hazina usumaku,humvutii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zipo sababu nyingi (,1) vidonge vya uzazi hata k.m. inakauka hana love liquid.(2) Kama size ya penis is relatively ndogo kuliko size ya k. yake hapati maximum mkuno hivyo hupoteza hamu na wewe.( 3)Kuzaa kunatanua size ya k. Kama hajafanya mazoezi ya kurudisha size ya zamani atakosa hisia maana hasikii kitu kikiingia,(4) tabia ya kumfokea bila sababu unampotezea hamu kwako na tendo hilo kwako halipendi ukiwa naye.Kazi nyingi na msongo wa Mawazo (stress) ni adui wa sex hata kwa me sio me peke yao. Ongezeni wajuzi.


Sent using Jamii Forums mobile app
Umemjibu vizuri, tena kwa kukazia hapo kwenye vidonge vya uzazi wa mpango kuna ambao huacha hzo dawa kwa sababu wanasema wakiwa faragha kwenye tendo la jimai hapat hisia zozote hvo kupelekea kuonekana kama anasubir tu jamaa amalize

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua je huu ni ugonjwa kwa mwanamke kutokupenda kufanya tendo la ndoa? je pia ni ugonjwa kutokusikia raha ya tendo la ndoa kwa mwanamke?
kuna matibabu ya matatizo hayo?
Angalizo mimi ni me,kwa niaba ya mpenzi wangu nimeuliza haya.


Hili ni tatizo kubwa sana kwa sasa ila bahati walengwa hatambui kuwa ni tatizo nampa hongera zake shemeji .... kwani natumaini kukubali kuwa tatizo lipo ni mwanzo wa kupata tiba/ufumbuzi

Hili tatizo limegawanyika katika makundi mawili

>>>> 1) KISAKOLOJIA
Ambapo ni wachache sana wanaangukia hapa kwasababu wanamawazo ya kuumizwa au kuudhiwa na wapenzi wao ...

>>>>2) TATIZO LA KIMFUMO.
Ambapo hapa huwa ni tatizo linalochangiwa na vitu vyote ambavyo havihusiani na kisakolojia... kuanzia madawa, mitindo ya maisha na n.k..

FIKRA POTOFU:-
Wanawake wengi hudhani kuwa hakuna tatizo la wanawake kupungukiwa nguvu za kike hivyo wakiwa na tatizo hili huanza kuwaza kuwa sababu zisizo husiana pamoja na iliyo maharufu zaid kwa sasa ya kale kamboga KIBAMIA... Ingawa kiuhalisia hata maumbile yaweje hawezi kupata raha au msisimko anautegemea kama anatatizo analo.

SULUHISHO
>>>Swala la mapenzi ni sanaa pana sanaa...kikubwa ni mtu akawa muawazi kwa mwenzake na mkatafuta ufumbuzi pamoja ili kufaidi starehe hii ya thamani.
 
Hili ni tatizo kubwa sana kwa sasa ila bahati walengwa hatambui kuwa ni tatizo nampa hongera zake shemeji .... kwani natumaini kukubali kuwa tatizo lipo ni mwanzo wa kupata tiba/ufumbuzi

Hili tatizo limegawanyika katika makundi mawili

>>>> 1) KISAKOLOJIA
Ambapo ni wachache sana wanaangukia hapa kwasababu wanamawazo ya kuumizwa au kuudhiwa na wapenzi wao ...

>>>>2) TATIZO LA KIMFUMO.
Ambapo hapa huwa ni tatizo linalochangiwa na vitu vyote ambavyo havihusiani na kisakolojia... kuanzia madawa, mitindo ya maisha na n.k..

FIKRA POTOFU:-
Wanawake wengi hudhani kuwa hakuna tatizo la wanawake kupungukiwa nguvu za kike hivyo wakiwa na tatizo hili huanza kuwaza kuwa sababu zisizo husiana pamoja na iliyo maharufu zaid kwa sasa ya kale kamboga KIBAMIA... Ingawa kiuhalisia hata maumbile yaweje hawezi kupata raha au msisimko anautegemea kama anatatizo analo.

SULUHISHO
>>>Swala la mapenzi ni sanaa pana sanaa...kikubwa ni mtu akawa muawazi kwa mwenzake na mkatafuta ufumbuzi pamoja ili kufaidi starehe hii ya thamani.
Asante sana mkuu
 
Yes kabisa,kuna wanawake wanahitaji msaada kwa hili.Unakuta ulikua na mpenzi mmoja unafanya nae tendo la ndoa anakushukuru na kukusifu kuwa hakuwahi kupewa raha kama hizi unazompa,lakini unakutana na mwanamke mwingine anakuambia hasikii raha kabisa ya tendo la ndoa,na wala huwa hapati hamu kabisa ya kutaka kufanya tendo la ndoa
Iv mnapo sema tendo la ndoa alafu hamjafunga ndoa bac hamstahili kuita ilo tendo kuwa ninla ndoa balinmtakuwanmnazini yaan ss kamanunazininna demu wqko au mchumba wako
 
Umeeleza vizuri sana ndg,nasikitika hali hii imenifanya niwe na tabia mbaya ya kuonja onja ili kuona kama kuna kitu hakiko sawa kwangu,lakini kusema ukweli katika kuonja kwangu nimeonekana natoa huduma nzuri kuliko ninayopewa mimi na sifa zilizoambatana nsa shukurani.,sikupenda niyaseme haya sio lengo la mada hii.
Yeah pia utakuta game za nje unainjoy zaidi kuliko game za kupiga ukiwa na mpenzi wako! Tabu kweli kweli...But anyways ni incompatibility issues, jambo naloweza kukusaidia ni ufanye mpango wa kumtafutia dawa ya kubalance hormones zake. Sometimes hili janga husababishwa na hormonal imbalanace.
 
Yeah pia utakuta game za nje unainjoy zaidi kuliko game za kupiga ukiwa na mpenzi wako! Tabu kweli kweli...But anyways ni incompatibility issues, jambo naloweza kukusaidia ni ufanye mpango wa kumtafutia dawa ya kubalance hormones zake. Sometimes hili janga husababishwa na hormonal imbalanace.
umshauri umepokelewa mkuu.
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom