kwa mwamke,kumsaidia mpezi wako malipo ya gesti ni sawa?

twenty2

JF-Expert Member
May 20, 2011
296
32
kwasababu wanaume wengi hawapendi kuwa chini cku ikitokea wametoka then ghafla mkajickia kusex then biti akamwabia mpz wake twende mm nitalipa mwanaume atamwambia hapana ckunyingine,kwann ipo ivyo bt kama mvulana akimwambia mpz wake waonane then akajibiwa awez anadhalula atamwambia ushakutana na mwanaume mingine ndio mana utaki,kwann iwe lawama kwa mabinti?
 
Ni sawa, love is sharing! nakereka sana na wanaume wanaojitia wanazweza kila kitu, wakati ukiachana naye naakimbilia kwa mama ntilie na roho inamuuma! Utawasikia wanasema kando kuwa wanawake ni ma parasite, wakati wakipewa nafasi wenyewe wanajishauwa!
 
hapana sio sawa, inakua kama vile analipia kisu kitakachomchinja. Hii stori inanikumbusha safari ya yesu galilaya, jamaa alikwenda 100% akijua itakula kwake. So kinadada msikubali kulipia guest fungu toka mikobani mwenu!
 
Mie nipo tayari alipie vyote tu na bia na nyama choma yaaani kila kitu ni sawa tu :biggrin1:
 
hapana sio sawa, inakua kama vile analipia kisu kitakachomchinja. Hii stori inanikumbusha safari ya yesu galilaya, jamaa alikwenda 100% akijua itakula kwake. So kinadada msikubali kulipia guest fungu toka mikobani mwenu!
Hivi huko gesti watoto wa kike wanaenda kuchinjwa au kuchinjana? hata kama wanaenda kuchinjwa kuna mtu kawashikia binduki kichwani? Si wanapeleka viranga vyao kwa khiyari yao wenyewe? hebu tuvunje ukimya hapa.
 
Kwa sababu wanadanganyika kirahiiiiiisii.......

kwasababu wanaume wengi hawapendi kuwa chini cku ikitokea wametoka then ghafla mkajickia kusex then biti akamwabia mpz wake twende mm nitalipa mwanaume atamwambia hapana ckunyingine,kwann ipo ivyo bt kama mvulana akimwambia mpz wake waonane then akajibiwa awez anadhalula atamwambia ushakutana na mwanaume mingine ndio mana utaki,kwann iwe lawama kwa mabinti?
 
yote kheri tena kama bibie anajiweza huwa inaleta raha akilipa yeye maana inaonesha kweli yuko tayari
 
twenty2,m naon n saw cz wt mnakuw mnasaidian ktk shid n rah s kam y boy han hel n www unamuhidaj freshhhh ukalip ki2 ch lodge nn alaf mpang mzim......................
 
wanaenda kuchinjwa, nitumie lugha gani nieleweke? Mwenyenu naogopa BAN!
 
Tatizo wengi wetu tunapenda kujifanya tunazo licha sometimes mambo yanabana, kama mwenzio yupo fresh acha alipie tu
 
ni sawa kabisa tena inapendeza demu akilipa mwanaume stress zinakwisha unakuwa na jukumu moja lakutoa dozi
 
hapana sio sawa, inakua kama vile analipia kisu kitakachomchinja. Hii stori inanikumbusha safari ya yesu galilaya, jamaa alikwenda 100% akijua itakula kwake. So kinadada msikubali kulipia guest fungu toka mikobani mwenu!

Wote si wanaenda kuridhishana, sasa inakuwaje uonyeshe kana kwamba mmoja anaenda kuumizwa (kuchinjwa)!!!! Na huenda Mdada anafaidi kuliko Mkaka.
 
wakuu, tafiti mbalimbali za mapenzi zinaonyesha kuwa 95% ya starehe chumbani huondoka nayo mwanamke, mwanaume faraja yake ni cares, prestige na status apatayo kwa kumchukua binti fulan, tena hii huwa ni nje ya chumba. Thats why mwanaume huingia gharama kumpamba mke/girlfriend wake aendee kutamba! Mpo hapo?
 
wakuu, tafiti mbalimbali za mapenzi zinaonyesha kuwa 95% ya starehe chumbani huondoka nayo mwanamke, mwanaume faraja yake ni cares, prestige na status apatayo kwa kumchukua binti fulan, tena hii huwa ni nje ya chumba. Thats why mwanaume huingia gharama kumpamba mke/girlfriend wake aendee kutamba! Mpo hapo?

Mh Gagurito hiyo level of satisfaction mmeimeasure vipi maana kama ni cares, prestige na status wote si wanapata? Na isitoshe hiyo 95% imemeshwa kwa kuangalia variable gani?? msuguano tu au kufika?
 
yote kheri tena kama bibie anajiweza huwa inaleta raha akilipa yeye maana inaonesha kweli yuko tayari
aiseee inaonekana ww unapenda kupewa sana au unaongwa?inaonekana ww n msaliti sana kwa mpz wako
 
Mh sina hakika na hili, ila alipe asilipe yote si sawa tu? mabinti na nyie mnapenda gharama???? mwache alipe ujishaue ulipe akiendaa na wenzako analipa tu
 
men, if you are not careful, hata kwenye familia zenu mtajifanya vidume na kukataa misaada ywa wake zenu kwenye kutunza familia and if you are not careful mkeo atasaidia ndugu zake na mwisho wake utasikia amejenga nyumba kwako, roho ikutoke!

Wanaume acheni hizo prestige zisizo na maana, emtu anapata mwanamke wa kukusaidia, unajifanya kidume na unazo! Sharing costs does not downgrade your manhood, ebooo!
 
Mi nahisi inategemea huo uhusiano wenu ni wa namna gani.
 
Hivi huko gesti watoto wa kike wanaenda kuchinjwa au kuchinjana? hata kama wanaenda kuchinjwa kuna mtu kawashikia binduki kichwani? Si wanapeleka viranga vyao kwa khiyari yao wenyewe? hebu tuvunje ukimya hapa.
gesti uwa tunaenda kuchinjana sio kuchinjwa ww vp mgeni kwenye mapenzi nn?
 
Back
Top Bottom