Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Mimi ni "exclusive", sitaki ugomvi na waarabukwahyo mimi ni mu-izraeli!?
Mimi ni "exclusive", sitaki ugomvi na waarabukwahyo mimi ni mu-izraeli!?
Mimi ni "exclusive", sitaki ugomvi na waarabukwahyo mimi ni mu-izraeli!?
Mimi ni "exclusive", sitaki ugomvi na waarabukwahyo mimi ni mu-izraeli!?
kwahiyo mkuu this is true?Watu wamekuwa brainwashed hata wakiuona ukweli wanakataa..
UN walitaka kuweka nchi ya Israel hapo Uganda
Source ya mto Nile..
Wayahudi wa Ethiopia ndo waliwafundisha wayahudi hawa hadi alphabet za kiyahudi
Nakuelewa kuna kitu nimekipitia ,kina elezea vzr hadi Mt KilimanjaroWatu wamekuwa brainwashed hata wakiuona ukweli wanakataa..
UN walitaka kuweka nchi ya Israel hapo Uganda
Source ya mto Nile..
Wayahudi wa Ethiopia ndo waliwafundisha wayahudi hawa hadi alphabet za kiyahudi
Ujinga mtupu. Wabantu waliotoka West Africa ndio mnawaita IsraelitesVitabu mbalimbali vya kirusi vinaelezea kuwa muisraeli asilia ni mtu mweusi, Vitabu hivi vinaambatanisha na picha za manabii mbalimbali wanaotajwa katika dini ya Kikristo na katika historia ya Dunia kwa ujumla. Kwa mujibu ya Warusi ,waisraeli halisi ni Watu weusi (wakazi wa Afrika Mashariki).
Na matatizo yote wanayopitia watu weusi ni ushahidi tosha, Watu weusi ndiyo taifa teule. Hii ni kwa mujibu ya reporter hapo chini. Ambaye ni reporter wa Kizungu aliyejikita katika utoaji wa taarifa zinazofichwa.
Swali Kwa kila mwafrika Kwa nini hii historia inafichwa sana?
Wazungu wamefanikiwa sana kushikilia akili za mwafrika.Nakuelewa kuna kitu nimekipitia ,kina elezea vzr hadi Mt Kilimanjaro
Hii habari inawezekana ikawa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Jews wanatoka mto Nile ndo asili yaokwahiyo mkuu this is true?
Mkuu upiga mule muleJews wanatoka mto Nile ndo asili yao
Sasa source ya mto Nile iko wapi?
Unawajua Ethiopian Jews waliochukuliwa Ethiopia na kupelekwa Israel wakati Israel inaundwa?
Ingia Google andika Ethiopian Jewskwahiyo mkuu this is true?
Kwanini tunatumia nguvu nyingi kujinasibisha na hawa watu? Kikubwa si sote ni binadamu na tumeumbwa kwa mfano wa muumba. So mu israel akishakuwa mweusi ndo inakuwaje sasa, inakusaidiaje wewe binafsi? Umaskini wa mwafrika una roots katika kutojiamini na kutojikubari kwetu. Tupigeni kazi tu hamna race bora kuliko nyingine kama mna kipato sawa
Nakuelewa kuna kitu nimekipitia ,kina elezea vzr hadi Mt Kilimanjaro
Hii habari inawezekana ikawa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine wapo Zimbabwe na Nigeria.Ingia Google andika Ethiopian Jews
Tazama image na videos
Wewe nawe una tatizo kichwani, kwani wabantu tu ndiyo weusi? Ethiopian ni wabantu wale?Ujinga mtupu. Wabantu waliotoka West Africa ndio mnawaita Israelites