Mkuu kwa wewe unaeishi kwenye mwanga akili yako inakutuma kuwa kwa ripoti ya imf na kula kwa mama ntilie vina mahusiano? Mkuu ama kweli nyani haoni kundule.Hiyo ripoti ya IMF wewe hujaielewa uko gizani kabisa.Yaani uko mweupe kichwani.Kila MTU hapo Pato lake mi 6500 .Kwa hiyo Kwa hapo Pato la familia Kwa siku no 6500 mara idadi yenu ambayo ni 8 Kwa hiyo jumla ya Pato lenu Kwa siku ni shilingi 52,000 sio 6000