nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
hapo hakuna cha ukawa wala uccm bali ni maslahi mapana ya taifa letu. rais kateleza.Wana UKAWA mnatia sana aibu, nyie ndo mlıtaka mkabidhıwe nchi kweli?Kwanı Mkurugenzi na Wakurugenzi wa idara na vitengo ndani ya Wizara, nafası zao hutangazwa na ufanyiwa usailı?Je hawa si watumishi wa umma?Je makatibu wakuu wa wizara,RAS,DAS lini ukasıkia nafasi zao zikitangazwa?Usikali kijana, hao wote nafasi zao ni za teuzi na ni watumishi wa umma.Sio kweli kwamba kuwa mtumishi lazma afanyiwe usaili.
sio kila uteuzi anapaswa kuweka yeyote. tafuta standing Order ujielimishe.