Uchaguzi 2020 Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi, aliewekewa pingamizi atajibu hoja mbele ya mweka pingamizi, Lissu na Magufuli uso kwa uso

Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi namba 13 ya mwaka 2004 kipengele cha 48 mgombea aliewekewa pingamizi anatakiwa kwenda kujibu hoja mbele ya mgombea aliyemwekea pingamizi na kujibu hoja .

Sasa leo Mhe. Lissu amemuwekea mgombea mwenzake John Pombe Magufuli wa CCM pingamizi baada ya kushindwa kuambatanisha passport size kwenye form yake pia wadhamini wake kuhakikiwa na wasimamizi wasaidizi badala ya TUME yenyewe zaidi alihakikiwa tarehe ambayo haipo kwenye ratiba.

Battle to battle.
Yaani muda wanaopoteza wataujutia! Badala ya kuhangaika na kampeni wanashadadia ujinga! Hawajui hata maana ya tume!
 
Mambo mengine ya kijinga.unamuengua mtu eti hakuleta passport??this is stupid .mambo mengine tunajtaji kutumia busara na siyo kukomoana!! Kama NEC hawawezi wajiuzulu mara moja.
Hilo nalikubali.
Maana zile fomu sio.mtihani
 
Mlivyomuengua Devotta Minja kule Morogoro kuwa hakuleta passport size ndio vile vile atakavyoenguliwa
wakurugenzi wanatumika hovyo hovyo bila kujali familia zao zinaishi mtaani hio laana ya kuwanyima wengine haki ya kuwachagua wawakilishi wawatao itawatafuna sana kwa kukubali kutumika
 
Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi namba 13 ya mwaka 2004 kipengele cha 48 mgombea aliewekewa pingamizi anatakiwa kwenda kujibu hoja mbele ya mgombea aliyemwekea pingamizi na kujibu hoja .

Sasa leo Mhe. Lissu amemuwekea mgombea mwenzake John Pombe Magufuli wa CCM pingamizi baada ya kushindwa kuambatanisha passport size kwenye form yake pia wadhamini wake kuhakikiwa na wasimamizi wasaidizi badala ya TUME yenyewe zaidi alihakikiwa tarehe ambayo haipo kwenye ratiba.

Battle to battle.
Acha uwongo. Kanuni za uchaguzi 2020 kanuni ya 39 haija sema kuwa mujibu pingamizi atafanya hivyo mbele ya mleta pingamizi.
 
Kwa hiyo furaha ya Lissu ni kukutana na Magufuli, mapingamizi kama hayo huwa yanatupiliwa mbali.
 
Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi namba 13 ya mwaka 2004 kipengele cha 48 mgombea aliewekewa pingamizi anatakiwa kwenda kujibu hoja mbele ya mgombea aliyemwekea pingamizi na kujibu hoja .

Sasa leo Mhe. Lissu amemuwekea mgombea mwenzake John Pombe Magufuli wa CCM pingamizi baada ya kushindwa kuambatanisha passport size kwenye form yake pia wadhamini wake kuhakikiwa na wasimamizi wasaidizi badala ya TUME yenyewe zaidi alihakikiwa tarehe ambayo haipo kwenye ratiba.

Battle to battle.
Hizo sababu ni nzito zinatosha kumwengua magu
 
Back
Top Bottom