Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Sheria ya Microfinance na kanuni zake inasemaje kuhusu vikundi vya watu kuweka fedha na kukopeshana yaani VICOBA(sio SACCOS)?
Je,VICOBA vinatakiwa kusajiliwa?
Na je,vinapaswa kulipa kodi?
Kama vinapaswa kusajiliwa na kulipa kodi, kutosajili na kutolipa kodi adhabu yake ni nini?
Je,VICOBA vinatakiwa kusajiliwa?
Na je,vinapaswa kulipa kodi?
Kama vinapaswa kusajiliwa na kulipa kodi, kutosajili na kutolipa kodi adhabu yake ni nini?