Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri uende Ile ya mwaka inayoandaliwaWacha uoga dogo.Mchakamchaka tuu wa saa 0600 kila siku ndio ukuogopeshe!
Uzalendo hauletwi kwa kuwakimbiza watu mchakamchakaTunataka vijana wajifunze uzalendo!Mimi sifurahishwi na utovu wa nidham na tabia ya wasomi wetu kukosa uzalendo wa nchi yao!!Ndio maana tukaleta utaratibu huu na lazima ufuatwe bila kukwepa kabisa!!!
Kwani bwamdogo kwenda JKT ni mandatory? Kiasi kwamba huwezi kupata kazi mpaka upitie JKT? Siku hizi ni kujitolea sio kama enzi zetu. Alafu kwa nini unafundisha watu kuhonga?Hata usipokwenda hakuna tatizo lolote, labda kama utahitaji kuajiriwa na serikali ndio unaweza kupata vikwazo kidogo, lakini ukihonga hamna shida utapata ajira.
Me sioni mantiki ya vijana kwenda huko, wakikosa cha kufanya mtaani baadae wanatumia technic walizojifunza huko katika uhalifu....Tunataka vijana wajifunze uzalendo!Mimi sifurahishwi na utovu wa nidham na tabia ya wasomi wetu kukosa uzalendo wa nchi yao!!Ndio maana tukaleta utaratibu huu na lazima ufuatwe bila kukwepa kabisa!!!
Hao waliokosa uzalendo ,wezi wa mali za umma na wabadhirifu,unadhani hawakupitia JKT ?Tunataka vijana wajifunze uzalendo!Mimi sifurahishwi na utovu wa nidham na tabia ya wasomi wetu kukosa uzalendo wa nchi yao!!Ndio maana tukaleta utaratibu huu na lazima ufuatwe bila kukwepa kabisa!!!
Mkuu mwache dogo aende akajifunze dunia ingine ikoje.Adhabu ya kutokwenda JKT ni ipi kisheria?
90% ya wezi wa Mali za umma wamepitia JKTHao waliokosa uzalendo ,wezi wa mali za umma na wabadhirifu,unadhani hawakupitia JKT ?
based on what research
Pole sana, ebu jaribu kutuliza akili ufikirie tenaTunataka vijana wajifunze uzalendo!Mimi sifurahishwi na utovu wa nidham na tabia ya wasomi wetu kukosa uzalendo wa nchi yao!!Ndio maana tukaleta utaratibu huu na lazima ufuatwe bila kukwepa kabisa!!!
Uzalendo gani?viongozi karibia wote waliopo walipita jkt tuambie wameleta uzalendo gani nchini zaidi ya upigaji tu.Tunataka vijana wajifunze uzalendo!Mimi sifurahishwi na utovu wa nidham na tabia ya wasomi wetu kukosa uzalendo wa nchi yao!!Ndio maana tukaleta utaratibu huu na lazima ufuatwe bila kukwepa kabisa!!!