Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
Nimekuwa nikisikia viongozi wengi wa serikalo na siasa hasa wa chama tawala wakitaka kumbana mtu unawasikia wakisema kwa mujibu wa sheria. Sijawahi kuwasikia wakinukuu kwa usahihi sheria yenyewe wanayoisimamia lakini utawasikia ni budi kuwepo na utii wa sheria kwenye hili. Je sheria tajwa ziko vichwani mwao au wanazungumzia sheria zipi? Inanichanganya sana kwa kweli!