katika sehemu ya sita, Masharti ya Mpito ya rasimu ya katiba, Inasema kutakuwa na muda wa mpito utakaoisha tarehe 31/12/2018.Katika muda huo kutafanyika maandalizi muhimu ya utekelezaji wa katiba mpya.
Na katika hotuba yake aliyoitoa wakati wa kupokea Rasimu hiyo, Rais Kikwete alisema hakutakuwana serikali ya mpito.
Kwa mtazamo wangu, uchanguzi wa 2015 itatumika tume ya uchaguzi hii iliyopo sasa ambayo siyo huru hadi mwisho wa kipindi cha mpito.Wanasiasa poleni sana maana hili la tume huru mlipigania sana ipatikane kabla ya 2015.
Na katika hotuba yake aliyoitoa wakati wa kupokea Rasimu hiyo, Rais Kikwete alisema hakutakuwana serikali ya mpito.
Kwa mtazamo wangu, uchanguzi wa 2015 itatumika tume ya uchaguzi hii iliyopo sasa ambayo siyo huru hadi mwisho wa kipindi cha mpito.Wanasiasa poleni sana maana hili la tume huru mlipigania sana ipatikane kabla ya 2015.