(Kwa mujibu wa nasa)picha halisi ya mfumo wa jua(solar system)

KENZY

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
26,171
56,753
PIA00452_modest.jpg

imepigwa na chombo kijulikanacho voyager 1,picha hii imechukuliwa umbali wa km billion 4 kutoka dunia.. ndo kama inavyoonekana chakukusaidia tu ni ukiangalia vizuri kuna ka dot keupe kwenye mstari wa mwisho kabisa hilo ndio jua!
 
Kanaonekana kadogo mnoo.! na kutokea kwenye chombo hicho mpk lilipo hilo jua kuna distance gani? au chombo hakikuweza kupima huo umbali?
 
Kanaonekana kadogo mnoo.! na kutokea kwenye chombo hicho mpk lilipo hilo jua kuna distance gani? au chombo hakikuweza kupima huo umbali?
kutoka lilipo jua mpk dunia km 149... ukijumlisha hapo utapata,lkn hiyo ni kwa zamani hiki chombo sahivi kipo mbali mno kimeshavuka mfumo wa jua letu mengine ukitaka kuna uzi unaelezea.
 
uongo
NASA msituchoshe
Yani watz bhana we unapinga hlf hata nje ya dunia hujawahi kutoka! haya mambo we jifunze tu usiegamie upande wowote! haya toa na wewe mtambo ukalete picha ya dunia
 
Yani watz bhana we unapinga hlf hata nje ya dunia hujawahi kutoka! haya mambo we jifunze tu usiegamie upande wowote! haya toa na wewe mtambo ukalete picha ya dunia
kwani nipo ndani ya dunia? au wewe upo ndani ya dunia??
 
SOMA HAPO CHINI, SIO JUA NI DUNIA INAVYOONEKANA..............
200px-Pale_Blue_Dot.png


The Pale Blue Dot image showing Earth from 6 billion kilometers appearing as a tiny dot (the blueish-white speck approximately halfway down the brown band to the right) within the darkness of deep space
 
SOMA HAPO CHINI, SIO JUA NI DUNIA INAVYOONEKANA..............
200px-Pale_Blue_Dot.png


The Pale Blue Dot image showing Earth from 6 billion kilometers appearing as a tiny dot (the blueish-white speck approximately halfway down the brown band to the right) within the darkness of deep space
Dah hawa jamaa mbona wanatupa maswali mengi ? 6b km ni nyingi sana kwa udogo wa dunia kuonekana, angalia tu Jupiter ilivyo kubwa mara ngapi sijui ya dunia na iko 1b+ km (toka duniani) inavyoonekana ndogo..how come dunia ionekane hivyo from 6b km ? Labda kama ni Jua hapo kidogo tutaelewa !
 
Back
Top Bottom