Kwa mujibu wa Lissu, kumbe hata Majaji hawalipi kodi!

Kwenye ule mshahara ghafi wa mbunge, huwa wanakatwa kodi? Wanachangia mifuko ya jamii? Kile kiinua mgongo chao, huwa kinatokana na kikokotoo gani? Maana watumishi wote wa umma wangependa na wenyewe wapate kama yeye alivyopata kila baada ya miaka 5 ya kuwa mpiga domo tu.

Pengine wangeweka na Job descriptions kwa wabunge ili tujue majukumu yao ya msingi na wananchi tuwawekee KPI kwa mwaka/term.

Na baada ya hapo, afafanue kwanini mwalimu, mwanajeshi, n.k hapewi sitting allowance kila anapoenda kazini kama yeye anapoenda mjengoni.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Kwenye ule mshahara ghafi wa mbunge, huwa wanakatwa kodi? Wanachangia mifuko ya jamii? Kile kiinua mgongo chao, huwa kinatokana na kikokotoo gani? Maana watumishi wote wa umma wangependa na wenyewe wapate kama yeye alivyopata kila baada ya miaka 5 ya kuwa mpiga domo tu.

Pengine wangeweka na Job descriptions kwa wabunge ili tujue majukumu yao ya msingi na wananchi tuwawekee KPI kwa mwaka/term.

Na baada ya hapo, afafanue kwanini mwalimu, mwanajeshi, n.k hapewi sitting allowance kila anapoenda kazini kama yeye anapoenda mjengoni.
Wabunge wanakatwa kodi.
 
Lissu akiingia madarakani itakuwa ni mtafutano hii nchi. mimi mwenyewe najua ataniathiri, itabidi nianze kujipanga kuendana na kasi yake.
maana ake utakuwa ni utawala wa kurekebisha kila kitu, mpaka historia ya ukoloni na uhuru inayofundishwa mashuleni ni lazima ibadirishwe.
 
Wabunge wanakatwa kodi.
Safi, je na wenyewe wako kwenye hii PAYE yetu au wanayo yakwao? Maana spika Makinda alisema Basic salary ya mbunge ni Tzs 2,500,000. Je, anakatwa kuweka hela kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii? Bunge linamchangia pia ile 15% au 10% kama waajiriwa wengine?
 
Safi, je na wenyewe wako kwenye hii PAYE yetu au wanayo yakwao? Maana spika Makinda alisema Basic salary ya mbunge ni Tzs 2,500,000. Je, anakatwa kuweka hela kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii? Bunge linamchangia pia ile 15% au 10% kama waajiriwa wengine?
Wako kwenye PAYE kama sisi wengine.Hayo mengine sifahamu.
 
Unapoteza muda wako bure. Lissu hawezi kuwa Rais wa JMT labda rais wa Chadema. Kama anaweza aende porini akawe rais huko!!
Pole ndg,
Kunywa maji upunguze hasira inayotakana na hofu.
Jifunze kupokea usiyotegemea kwa utulivu hata kama huyapendi.
Kwani ulifahamu kuwa Mkapa aliyekuwa hai mpaka saa tano usiku, angekuwa marehemu kufika saa sita na nusu uskui?
 
Back
Top Bottom