Kwa mujibu wa katiba ya CUF, Lipumba hakujiuzulu!

Peleka unafiki huko lumumba wewe katiba ya CUF unaijua? huyo Lipumba mchukueni awe mwenyekiti wenu
Tumia akili umeambiwa ni kwa mujibu wa mtoa mada channel ten huyo ndiye anaijua katiba ya cuf ndio maana kaalikwa kufafanua.
 
Wewe mwenyewe huna akili
Pale nilikuwa nahisi tu huenda ukawa na hali hiyo. Kumbe kweli huna kabisa.
Nashukuru umebaini kuwa ulikurupuka na unaona haya kwa kukurupuka pole sikunyingine kuwa makini kusoma na kuelewa na ukilekebishwa rekebishika.
 
Mbona unaweka hoja ya upande mmoja? ni vema ungeweka na hoja za yule aliyekuwa akipinga juu ya Lipumba kutaka kulejea kwenye nafasi yake, kwani imezungumzwa wazi hauwezi kuweka kiongozi juu ya kiongozi tayari mamlaka za juu zenye haki kikatiba ya CUF ziliisha teua mwenyekiti wa muda(Kaimu mwenyekiti) wa kukalia nafasi hiyo hadi uchaguzi utakapo fanyika. Nakushangaa wewe Kubwa la wajinga(Jingalao) kwa kuja na kihoja kama jinsi huyo aliyekuwa akimtetea Lipumba alivyoumbuka katika mjadala huo
Lakini hoja iliowekwa kuwa Katiba ya CUF haizungumzi kabisa kuwepo kwa "Kaimu Mwenyekiti" waliomteua "Kaimu Mwenyekit"i walitumia Katiba gani?
 
Kwa kuwa katibu mkuu hakupeleka barua ya kujiuzulu ya Mwenyekiti kwenye mkutano mkuu basi Lipumba ana haki ya kutengua uamuzi wake.

Source:mdau anayejadili kupitia Channel ten.
Msituvuruge. Ishu ya Lipumba ilishaisha.
 
Kwa kuwa katibu mkuu hakupeleka barua ya kujiuzulu ya Mwenyekiti kwenye mkutano mkuu basi Lipumba ana haki ya kutengua uamuzi wake.

Source:mdau anayejadili kupitia Channel ten.
Lipumba anaweweseka bure tu, akae mbali na chama akijutia mihemuko yake na kufanya maamuzi kabla ya kutafakari madhira yake ya muda mrefu na muda mfupi. Good riddance Lipumba
 
Sasa kama barua ya kujiuzulu haijapelekwa kwenye mamlaka iliyomteua utasemaje chama hakina mwenyekiti. Ifikie wakati katiba za vyama vya siasa ziheshimiwe

Tuchukulie ni kweli ndiyo hivyo, kwa sbb katibu mkuu hajaipeleka barua......sijui wapi

Tuambieni, hiyo situation ya kutokuwepo kwake kazini kwa takribani miezi 8 sasa tuiiteje eti?

Mtoro? Mtumishi hewa?

Ni nini adhabu yake?

Likizo ndefu isiyo na malipo? Yenye malipo?

Na je, Twaha Tasilima kaimu Mwenyekiti (kama sitakuwa nimekosea) aliwekwa na nani pale? Katiba ya CUF inasemaje kuhusu hilo?
 
Mchangiaji yule alikuwa ana hoja nzito ndio maana mkutano umehairishwa
 
Lakini hoja iliowekwa kuwa Katiba ya CUF haizungumzi kabisa kuwepo kwa "Kaimu Mwenyekiti" waliomteua "Kaimu Mwenyekit"i walitumia Katiba gani?
Kisheria na kikatiba kundi la Seif limebwagwa na Lipumba.
 
Kwa kuwa katibu mkuu hakupeleka barua ya kujiuzulu ya Mwenyekiti kwenye mkutano mkuu basi Lipumba ana haki ya kutengua uamuzi wake.

Source:mdau anayejadili kupitia Channel ten.
bas tufanye alikuwa mtoro wa kazin kwa zaid ya miez sita.....ni wakufukuzwa kazi ss...
 
Profesa alikwenda Rwanda mwaka jana ili 'kupata' Post Doctoral ya Uchumi arudi ili aishauri serikali jinsi ya kusonga mbele kimaendeleo. Inashauri azingatie na ajikite kwenye hilo ili kuhifadhi heshima yake!
 
Lipumba sasa ndio uprofesa wake unapoonekana....anacheza na loopholes za katiba ya CUF
 
Back
Top Bottom