tyc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,179
- 2,955
Inasikitisha Simba tumesajili mchezaji mwenye kiwango kizuri, uzoefu wa kutosha katika mashindano ya kimataifa ngazi ya klabu lakini hatoweza kuichezea Simba katika hatua ya CAF group stage (16 round)
Hii ni kutokana na kanuni ya CAF kwamba timu yoyote ikifuzu kuingia group stage basi haitotakiwa kusajili mchezaji aliyeshiriki michuano hio kwa msimu husika
Hii ni kutokana na kanuni ya CAF kwamba timu yoyote ikifuzu kuingia group stage basi haitotakiwa kusajili mchezaji aliyeshiriki michuano hio kwa msimu husika