Kwa mujibu kwa Canon Law, maaskofu Pengo na Niwemugiizi wametoa maoni yao binafsi

moma2k

JF-Expert Member
Dec 12, 2010
1,061
1,327
Kwanza kabisa ni declare interest ya kwamba niliwahi kuwa padre wa kanisa katoliki. Niliamua kuachana nao kwasababu nilitaka kuoa. Hiyo ni haki yangu. Kwa sasa kitaaluma ni mwanasheria.

Kwa mujibu wa canon law MSIMAMO RASMI wa baraza la maaskofu(Episcopal Conference) kwa TZ TEC, lazima uwe ni TUNDA la MKUTANO wa baraza hilo. Maana yake, lazima mkutano wa baraza uitishwe, mkutano huo ufanyike, maamuzi ya mkutano huo(resolusion) ndiyo huwa ni msimamo wa kanisa.

Aidha, kwa mujibu wa canon law, mwenye mamlaka ya kuutangaza msimamo huo rasmi ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu, Makamu wake au Katibu mkuu wa baraza hilo. Ipso facto, hao watu watatu ndio wasemaji rasmi wa baraza la maaskofu popote pale duniani.

Kwa mukitadha huo, Askofu Niwemugizi alisema, anataka Katiba mpya. Ana haki kusema hivyo. Lakini ni maoni yake binafsi. HAKUSEMA ni msimamo wa kanisa katoliki. Hana kosa. Askofu Pengo alisema kwa sasa hataki katiba mpya. Ana haki ya kunena. HAKUSEMA huu ni msimamo wa kanisa katoliki. Hana kosa.

Kwa mantiki hii, hukukuwa na sababu(reasonable cause) ya askofu moja kumlaumi mwenzake hadharani. Figisu hii inatufundisha kuweka akiba ya maneno.
 
Bado hoja yako ni nyepesi mno,hukuwa na haja ya kutuambia kuwa ulikuwa padre na uliacha kwa sababu ya kushindwa kuutiisha mwili wako,ingetosha tu kuandika haya uliyoyaandika bila ya kutuambia kuwa nawe ni 'padre mstaafu'

Baada ya kujitambulisha kuwa nawe ulikuwa padre,naomba unijibu swali lifuatalo:Hivi sakramenti huwa zinafutika(kuondolewa)? Aliyebatizwa leo,kesho anaweza kuufuta ubatizo wake?Aliyepata kipaimara leo kesho aweza kuitengua hiyo sakramenti?Kama sakramenti ya ndoa kwa mujibu wa Wakristo haiwezi kutenganishwa na yeyote hapa duniani,mbona nyinyi mapadre mnaivunja sakramenti ya upadre?
 
Bado hoja yako ni nyepesi mno,hukuwa na haja ya kutuambia kuwa ulikuwa padre na uliacha kwa sababu ya kushindwa kuutiisha mwili wako,ingetosha tu kuandika haya uliyoyaandika bila ya kutuambia kuwa nawe ni 'padre mstaafu'
Kosa liko wapi. Huo ndo ukweli. Na ni HAKI yangu kuamua juu ya mambo ya dini ninayoitaka. Soma ibara ya 19(1) ya Katiba ya Jamuhuri.Watanzania tunapenda kusikia uwongo.
 
Kwanza kabisa ni clear interest ya kwamba niliwahi kuwa padre wa kanisa katoliki. Niliamua kuachana nao kwasababu nilitaka kuoa. Hiyo ni haki yangu. Kwa sasa kitaaluma ni mwanasheria.

Kwa mujibu wa canon law MSIMAMO RASMIi wa baraza la maaskofu(Episcopal Conference) kwa TZ TEC, lazima uwe ni TUNDA la MKUTANO wa baraza hilo. Maana yake, lazima mkutano wa baraza uitishwe, mkutano huo ufanyike, maamuzi ya mkutano huo(resolusion) ndiyo huwa ni msimamo wa kanisa.

Aidha, kwa mujibu wa canon law, mwenye mamlaka ya kuutangaza msimamo huo rasmi ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu, Makamu wake au Katibu mkuu wa baraza hilo. Ipso facto, hao watu watatu ndio wasemaji rasmi wa baraza la maaskofu popote pale duniani.

Kwa mukitadha huo, Askofu Niwemugizi alisema, anataka Katiba mpya. Ana haki kusema hivyo. Lakini ni maoni yake binafsi. HAKUSEMA ni msimamo wa kanisa katoliki. Hana kosa. Askofu Pengo alisema kwa sasa hataki katiba mpya. Ana haki ya kunena. HAKUSEMA huu ni msimamo wa kanisa katoliki. Hana kosa.

Kwa mantiki hii, hukukuwa na sababu(reasonable cause) ya askofu moja kumlaumi mwenzake hadharani. Figisu hii inatufundisha kuweka akiba ya maneno.
Njia ya mwongo ni fupi sana:KWA LUGHA NYINGINE NI UMESEMA CATHOLIC NI DEVIDED HOUSE? ILA PENGO ANALO SIKU NYINGI GWAJIMA ALIMTUHUMU KUWASALITI WENZIE VIBAYA.SIJUI UNAMLINDAJE KTK HILI. Haiwezekani kanisa hili likawa limegawanyika hivyo unavyotaka sema.


PIA SIKU NYINGINE USIPENDE KUDHALILISA WATU UKIDHANI UNAWALINDA.INA MAANA PENGO HAJUI KAULI YA KIONGOZI INASHAWISHI?INA MAANA PENGO HAJUI KUWA AKISEMA NAPENDA HATAKUWA KA ENDORSE?

Mbaya zaidi Pengo ni mshutumiwa na gwajima na ktk hili anathibitisha.Mwenzie aliweka wazi kuwa anasema km nani?Nani wa kuaminika hapa?
 
Kosa liko wapi. Huo ndo ukweli. Na ni HAKI yangu kuamua juu ya mambo ya dini ninayoitaka. Soma ibara ya 19(1) ya Katiba ya Jamuhuri.Watanzania tunapenda kusikia uwongo.


Acha kukimbilia kujificha kwenye kivuli cha katiba ya nchi,kanisa lina sheria na taratibu zake.Baada ya kujitambulisha kuwa nawe ulikuwa padre,naomba unijibu swali lifuatalo:Hivi sakramenti huwa zinafutika(kuondolewa)? Aliyebatizwa leo,kesho anaweza kuufuta ubatizo wake?Aliyepata kipaimara leo kesho aweza kuitengua hiyo sakramenti?Kama sakramenti ya ndoa kwa mujibu wa Wakristo haiwezi kutenganishwa na yeyote hapaduniani,mbona nyinyi mapadre mnaivunjasakramenti ya upadre?
 
Wote hamna kosa hata atakayekuja kuandika sasa hivi hana kosa kwani kosa kumkosoa mkosaji bila kujua kusudio la kosa.
 
Naam Mtumishi moma2k
Uliponifurahisha ni pale uliposema hivi:

"Niliwahi kuwa padre wa kanisa katoliki. Niliamua kuachana nao kwasababu nilitaka kuoa. Hiyo ni haki yangu."

Mie ni Mtumishi mwenzio pia... Nina historia kama yako...
Tofauti yake ni malengo yetu. Mwenzio niliamua kuachana kabisa na Upadri na kukimbia Ukatoliki baada ya kuitambua dini ya haki... Ukatoliki kuna mizenguo kibao... Na kama ulikua hujui Katoliki ni chama kingine cha siasa nchini TZ.
Mwenyekiti wa chama Blaza Pengo
 
Kwanza kabisa ni declear interest ya kwamba niliwahi kuwa padre wa kanisa katoliki. Niliamua kuachana nao kwasababu nilitaka kuoa. Hiyo ni haki yangu. Kwa sasa kitaaluma ni mwanasheria.

Kwa mujibu wa canon law MSIMAMO RASMIi wa baraza la maaskofu(Episcopal Conference) kwa TZ TEC, lazima uwe ni TUNDA la MKUTANO wa baraza hilo. Maana yake, lazima mkutano wa baraza uitishwe, mkutano huo ufanyike, maamuzi ya mkutano huo(resolusion) ndiyo huwa ni msimamo wa kanisa.

Aidha, kwa mujibu wa canon law, mwenye mamlaka ya kuutangaza msimamo huo rasmi ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu, Makamu wake au Katibu mkuu wa baraza hilo. Ipso facto, hao watu watatu ndio wasemaji rasmi wa baraza la maaskofu popote pale duniani.

Kwa mukitadha huo, Askofu Niwemugizi alisema, anataka Katiba mpya. Ana haki kusema hivyo. Lakini ni maoni yake binafsi. HAKUSEMA ni msimamo wa kanisa katoliki. Hana kosa. Askofu Pengo alisema kwa sasa hataki katiba mpya. Ana haki ya kunena. HAKUSEMA huu ni msimamo wa kanisa katoliki. Hana kosa.

Kwa mantiki hii, hukukuwa na sababu(reasonable cause) ya askofu moja kumlaumi mwenzake hadharani. Figisu hii inatufundisha kuweka akiba ya maneno.
Ni kweli hata Mhashamu alisema yale yalikuwa ni mawazo yake binafsi. Na hata yeye amesema " ukiniuliza mimi" nini kipaumbele cha watanzania ntakuambia ni afya, elimu n.k.
 
Bado hoja yako ni nyepesi mno,hukuwa na haja ya kutuambia kuwa ulikuwa padre na uliacha kwa sababu ya kushindwa kuutiisha mwili wako,ingetosha tu kuandika haya uliyoyaandika bila ya kutuambia kuwa nawe ni 'padre mstaafu'

Baada ya kujitambulisha kuwa nawe ulikuwa padre,naomba unijibu swali lifuatalo:Hivi sakramenti huwa zinafutika(kuondolewa)? Aliyebatizwa leo,kesho anaweza kuufuta ubatizo wake?Aliyepata kipaimara leo kesho aweza kuitengua hiyo sakramenti?Kama sakramenti ya ndoa kwa mujibu wa Wakristo haiwezi kutenganishwa na yeyote hapa duniani,mbona nyinyi mapadre mnaivunja sakramenti ya upadre?
Daraja ya upadre unafutwa na papa kwa dispensation
 
Kwanza kabisa ni declear interest ya kwamba niliwahi kuwa padre wa kanisa katoliki. Niliamua kuachana nao kwasababu nilitaka kuoa. Hiyo ni haki yangu. Kwa sasa kitaaluma ni mwanasheria.

Kwa mujibu wa canon law MSIMAMO RASMIi wa baraza la maaskofu(Episcopal Conference) kwa TZ TEC, lazima uwe ni TUNDA la MKUTANO wa baraza hilo. Maana yake, lazima mkutano wa baraza uitishwe, mkutano huo ufanyike, maamuzi ya mkutano huo(resolusion) ndiyo huwa ni msimamo wa kanisa.

Aidha, kwa mujibu wa canon law, mwenye mamlaka ya kuutangaza msimamo huo rasmi ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu, Makamu wake au Katibu mkuu wa baraza hilo. Ipso facto, hao watu watatu ndio wasemaji rasmi wa baraza la maaskofu popote pale duniani.

Kwa mukitadha huo, Askofu Niwemugizi alisema, anataka Katiba mpya. Ana haki kusema hivyo. Lakini ni maoni yake binafsi. HAKUSEMA ni msimamo wa kanisa katoliki. Hana kosa. Askofu Pengo alisema kwa sasa hataki katiba mpya. Ana haki ya kunena. HAKUSEMA huu ni msimamo wa kanisa katoliki. Hana kosa.

Kwa mantiki hii, hukukuwa na sababu(reasonable cause) ya askofu moja kumlaumi mwenzake hadharani. Figisu hii inatufundisha kuweka akiba ya maneno.


Unachosahau labda ni kwamba bibi yangu hajui canon law, kwake Kardinali akisema ni Mungu amesema!
 
Naam Mtumishi moma2k
Uliponifurahisha ni pale uliposema hivi:

"Niliwahi kuwa padre wa kanisa katoliki. Niliamua kuachana nao kwasababu nilitaka kuoa. Hiyo ni haki yangu."

Mie ni Mtumishi mwenzio pia... Nina historia kama yako...
Tofauti yake ni malengo yetu. Mwenzio niliamua kuachana kabisa na Upadri na kukimbia Ukatoliki baada ya kuitambua dini ya haki... Ukatoliki kuna mizenguo kibao... Na kama ulikua hujui Katoliki ni chama kingine cha siasa nchini TZ.
Mwenyekiti wa chama Blaza Pengo
Mkuu km ni issue ya makosa ya pengo tupo pamoja,Ila issue ya kusema umeenda dini ya haki,sidhani km utakuwa ndani ya ukristu, sidhani km una ushahidi kuwa ukristu hauna haki kihivyo.Kuhusu pengo kufanya katoliki chama cha kisiasa tz.haikupi sababu ya kuona kwamba doctine nzima ya ukatoliki im base ktk pengo.Hata wenzio wanamkataa.Sasa ni vipi umfanye kuwa yeye ndie Yesu hadi uone ukristu mzima una shida za pengo?Ni wazi kuna shida kwako na kwa pengo ,sasa unamtumia pengo km kitu cha kuhalalisha na pengine kudhalilisha wengine.Be careful.HUko napo kuna haya haya.Utahama tena?Mwisho utakataa dini kabisa?
 
Acha kukimbilia kujificha kwenye kivuli cha katiba ya nchi,kanisa lina sheria na taratibu zake.Baada ya kujitambulisha kuwa nawe ulikuwa padre,naomba unijibu swali lifuatalo:Hivi sakramenti huwa zinafutika(kuondolewa)? Aliyebatizwa leo,kesho anaweza kuufuta ubatizo wake?Aliyepata kipaimara leo kesho aweza kuitengua hiyo sakramenti?Kama sakramenti ya ndoa kwa mujibu wa Wakristo haiwezi kutenganishwa na yeyote hapaduniani,mbona nyinyi mapadre mnaivunjasakramenti ya upadre?
Ni kama unamlazisha kutoka nje ya mada, amezungumzia haki za hao mapdri za kutoa maoni yao, sioni sababu ya kumshambulia watu wana hama dini, sakramenti kitu gani?
 
Nakubaliana na wewe kwamba maneno ya pengo ni maoni yake binafsi ila msimamo wa TEC ni msimamo wa kanisa
 
Kwanza kabisa ni declear interest ya kwamba niliwahi kuwa padre wa kanisa katoliki. Niliamua kuachana nao kwasababu nilitaka kuoa. Hiyo ni haki yangu. Kwa sasa kitaaluma ni mwanasheria.

Kwa mujibu wa canon law MSIMAMO RASMIi wa baraza la maaskofu(Episcopal Conference) kwa TZ TEC, lazima uwe ni TUNDA la MKUTANO wa baraza hilo. Maana yake, lazima mkutano wa baraza uitishwe, mkutano huo ufanyike, maamuzi ya mkutano huo(resolusion) ndiyo huwa ni msimamo wa kanisa.

Aidha, kwa mujibu wa canon law, mwenye mamlaka ya kuutangaza msimamo huo rasmi ni Mwenyekiti wa Baraza la maaskofu, Makamu wake au Katibu mkuu wa baraza hilo. Ipso facto, hao watu watatu ndio wasemaji rasmi wa baraza la maaskofu popote pale duniani.

Kwa mukitadha huo, Askofu Niwemugizi alisema, anataka Katiba mpya. Ana haki kusema hivyo. Lakini ni maoni yake binafsi. HAKUSEMA ni msimamo wa kanisa katoliki. Hana kosa. Askofu Pengo alisema kwa sasa hataki katiba mpya. Ana haki ya kunena. HAKUSEMA huu ni msimamo wa kanisa katoliki. Hana kosa.

Kwa mantiki hii, hukukuwa na sababu(reasonable cause) ya askofu moja kumlaumi mwenzake hadharani. Figisu hii inatufundisha kuweka akiba ya maneno.
We mwenyewe hauna uhakika na siwezi kukuamini kwa sababu kwanza haukuwa hata na uhakika na kwamba wataka uwe padre sasa cjui kama unaweza ukawa na uhakika na haya ukiyosema
 
Dini ni kama koti
Unawezaamua kulivua muda wowote ule. Na kuvaa koti jingine. Freedom of worship ni HAKI ya bindamu. Upadre ni kama mchungaji yoyote yule. Unawezakuachana nao dakika yoyote ile. Kwenye dini hakuna kitu cha kudumu. Ni kutisha watu tu. Sakramenti ndo nini. Hiari na haki ya mtu ndo ina prevail. Kama kanisa linaweza kufukuza, pia mtu ana haki ya kuachana na mfumo huo muda wowote ule. Dr.Slaa ni mfano
 
Ni kama unamlazisha kutoka nje ya mada, amezungumzia haki za hao mapdri za kutoa maoni yao, sioni sababu ya kumshambulia watu wana hama dini, sakramenti kitu gani?
Ila aliingilia haki ya mwingine kwa kusema kuwa sio msemaji wa kanisa.Sasa haki gani unadhani alikuja sema wanayo?
 
Bado hoja yako ni nyepesi mno,hukuwa na haja ya kutuambia kuwa ulikuwa padre na uliacha kwa sababu ya kushindwa kuutiisha mwili wako,ingetosha tu kuandika haya uliyoyaandika bila ya kutuambia kuwa nawe ni 'padre mstaafu'

Baada ya kujitambulisha kuwa nawe ulikuwa padre,naomba unijibu swali lifuatalo:Hivi sakramenti huwa zinafutika(kuondolewa)? Aliyebatizwa leo,kesho anaweza kuufuta ubatizo wake?Aliyepata kipaimara leo kesho aweza kuitengua hiyo sakramenti?Kama sakramenti ya ndoa kwa mujibu wa Wakristo haiwezi kutenganishwa na yeyote hapa duniani,mbona nyinyi mapadre mnaivunja sakramenti ya upadre?
Mmmm..aise wewe hujui kitu juu ya dini. Umekalilishwa na umelewa sakramenti. Jambo la msingi ni HIARI ya mtu. Siyo sakramenti. Salramenti ndo nini. Upadre,ubatizo,kipaimara,ndoa na masakramenti mengine SIYO GEREZA.Ni hiari. Hakuna ulazima. Acha kulewa sakramenti na ukatoliki wake. Mambo hayo yamepitwa na wakati. Ilikuwa ni mifumo ya kutesa watu.
 
Back
Top Bottom