Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,347
- 11,447
Miaka yangu yote 40+ niliwahi kuwa mfuasi wa mwanasiasa nilipo kuwa kwenye 10s, nilipokuja kupata akili niliacha kumfuata mwanasiasa nikawa nimetengeneza tabia ya kuangalia hoja za mwanasiasa husika.
Wanasiasa wa Tanzania ,Afrika na pengine dunia nzima siyo waaminifu, ni vigeu geu waongo na hawana misimamo. Nadhani wa Tanzania ni zaidi hawana aibu ni wapuuzi na wanafiki wanajali matumbo yao tu.
Unaweza enda linda "kula" ya mtu ukidhani unalinda "kura" zako. Kumbe ni " kula" yake. Wanasiasa vigeu geu hawaaminiki.
Angalia maisha yako. Wanaokusifu leo kesho hawatakuwa nawe. Nani anakumbuka kuwatumia pesa wazazi/mke wa Ben Saanane?
Wanasiasa wa Tanzania ,Afrika na pengine dunia nzima siyo waaminifu, ni vigeu geu waongo na hawana misimamo. Nadhani wa Tanzania ni zaidi hawana aibu ni wapuuzi na wanafiki wanajali matumbo yao tu.
Unaweza enda linda "kula" ya mtu ukidhani unalinda "kura" zako. Kumbe ni " kula" yake. Wanasiasa vigeu geu hawaaminiki.
Angalia maisha yako. Wanaokusifu leo kesho hawatakuwa nawe. Nani anakumbuka kuwatumia pesa wazazi/mke wa Ben Saanane?