Lakini si alijitetea kuwa alikuwa amezama katika maombi mazito kuliombea Bunge? Tena akadai kuwa sababu ya sala zake ndio maana kiongozi wa upinzani bungeni akaongea mambo matamu(sijui yapi!)
Picha hii iwekwe kwenye vitabu vya shule za msingi ili kuwafundisha watoto wetu kuwa si vizuri kutumia vibaya kodi za wananchi! Huu ni mfano halisi wa matumizi mabaya ya kodi zetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.