Kwa mtindo huu, wananchi wwamefulia...full kulala
Tehe tehe tehe eeeeh!!ha ha ha ha. Akiamka hapo anazomea bila ya kujua anazomea nini. Halafu anaomba mwongozo wa spika.
Jamaa yuko kazini hap; kwani wewe hujui kazi inayofanywa na wabunge wa CCM? KULALA na KUZOMEA tu
Mheshimiwa John Komba kama hauna cha kufanya hapo bungeni akina Zitto, Mdee na Nyika wanakusumbua sana na UdotComu wao basi huna haja kabisa ya kuwazibia wananchi nafasi bure ya kumchagua mchapakazi hodari ambaye hivi sasa utakuta kwamba analilia kweli kweli hiyo nafasi unayoichezea wewe ili Wana-Mbinga wakatume haraka kazi bungeni Dodoma.Jamaa yuko kazini hap; kwani wewe hujui kazi inayofanywa na wabunge wa CCM? KULALA na KUZOMEA tu
Chie mwepe, nga kumanya. Chie nga kuwezekana. Kuhole moyo palongi.
Mambo kama ndo hayo wananchi wakamwulize kikwete aliyempigia debe. Na bado nakumbuka lugha yao nilipokuwa nao kwa miezi kama 6 hivi watamwambia nga kumanya mbunge wao.
Anaota mganda nguvu waliochezewa wakati wa kampeni.
Wanaojua vizuri kimatengo wanisaidie kunyoosha hapo huenda nimekosea spelling lakini maudhui ni sawa
Ohhooo, akisikia 'achimenengule' ataamka kwa kasi ya ajabu.